BIGstallion
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 6,324
- 7,913
Hivi hamchoki kuandika udaku humu!?
Mkuu tupe dodoso naskia mkuu anaharibiwa, je ni kweli?
Cc Mange kimambi
Cc william Malecela
Cc Le mutuz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hamchoki kuandika udaku humu!?
Teh teh, Nitacheka jamaa akienda watandika viboko halafu apande jukwaani na kusema hawafanyi kazi ni vikao vsisvyo vya kikazi wala kwa manufaa ya nchi.Yeye km makonda anataka wachapa kazi na maendeleo tuu.hao mawaziri watakuwa wapumbavu. si wajiuzuru
Wewe huchoki kuusoma?Hivi hamchoki kuandika udaku humu!?
Pumba+mashudu+utumboMakonda is the next President of Tanzania! Elimu ya juu haina uhusiano na uwezo halisi wa mtu! Nyerere alikuwa professor?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaiyo ndiye Bashite ni maliyamungu wa tz na Idd amini wa tz ndio naniAlijulikana zaidi kama Isaac Maliyamungu na aliua sana...yasemekana kwamba hata Idi Amin mwenyewe kwa kiasi fulani alimuogopa! Alishabahiana na Bashite kwa mengi kuanzia tabia (ujasiri na ukatili) na elimu ndogo.
Kwa jinsi unavyoonyesha ww wamekwishakudadavua sana huo mtaro, yaani hapo marinda yote wameyadadavua hamna hata alama yaani mfereji full midadavuo kwa kuzibuliwa. Post zako tu mbona zinajielezaIntelijensia ya Chadema siku hizi inapanga kufanya mauaji ya watu wanaotaka kugombea uenyekiti
Hii ni kweli mkuu hata mi hili nimeliona huwa najiuliza sipati jibu..kwa hili wako sawa make jamaa kageuka kuingilia wizara zoteView attachment 585719
Mh.Makonda akikagua gwaride
Kuna tetesi kuwa mawaziri wanaoingiliwa na Mkuu wa Mkoa Dar kimajukumu wanatarajia kuanzia kesho visivyo rasmi kumjadili. Mawaziri hao wamekuwa wakilalamika Makonda kukwapua majukumu ya wizara kupita kawaida jambo linalowafanya wao waonekane wapumbavu mbele ya Rais.
Wametolea mfano Makonda kumpoka Waziri Mwigulu katika kusimamia na kuamrisha jeshi la polisi mkoa wa Dar.
Tukio la juzi Makonda kuzuia bomoa bomoa imewaumiza sana na kuonekana Waziri wa Ardhi hatimizi wajibu wake. Pia mawaziri hao wamekuwa wazito kuchukua hatua kwa masuala ya Dar es Salaam wakihofia kudhalilika ikiwa Makonda atatengua maagizo yao
Vikao hivyo vitaanza Dodoma wiki kesho na vitaendelea kwingineko kadri watakavyokuwa wanakutana
Aisee,,ww jamaa unaona mbali,,kwani unafikiri si ndio kama inapangwa hv kuwa hivyoNajaribu kufikiria kwa nguvu.Ikitokea gap na jamaa wametoa break zote hatutajikuta tuna mfalme kweli? Dunia ina maajabu sana.
si hivyo tu akinogewa atatamani nafasi ya bosi ndo mapinduzi hutokea hivyo.Siku hizi mtu anayeitwa Makonda anaouwezo wa kuwaahidi Polisi (wa dar) kuwatafutia silaha nzuri..
Ana pesa za kuwanunulia polisi pikipiki za misafaara ....pia kawaahidi..mazingira bora ya kazi na mikopo ya nyumba
Kwa mtu yeyote anayejua national defence hilo ni..jambo seditious.....
Amiri jeshi wa mkuu mmoja...na vyombo vyote vya ulinzi na usalama...vinapewa...mahitaji kwa...wajibu na hisani ya amiri jeshi mkuu ......
Unaposema unawapa silaha polisi unazitoa wapi ...anajua procedure ya vyombo vya ulinzi kununua silaha ????
Namshangaaa sana..Kapilimba...kulea huu.utoto ..haruhusiiwi mtu yeyote awae kutafuta utiifu kwa chombo chochoten cha ulinzi labda kama...ana mpango wa..kufanya mapinduzi siku moja
Hata waziri wa ulinzi au mambo...ya ndani mara nyingine hajui hata details za...manunuzi ya silaha na magari sembuse....kusema kapewa vifaa na..msamaria ...msamaria...gani.??????
Waziri yuko tu anaaangalia wizara inatukanishwa.
igp...yupo tu anatizama !!!!
Huuu ni..muashirio wa mtu kuwa...na vikundi visivyo rasmi..vya kijeshi ...iko siku atakua anacomand brigade yake mwenyewe.....(kwa kumuaminisha anayemtuma...iko kwa ajili yake)
Je siku akindoka madarakani hataamrisha askari wanaomtiiii yeye wamuingize kwa...nguvu????
Nashangaaa sana
Heeh,, hv huyu [emoji115] [emoji115] [emoji42] katoka wapi na yy,,!!??Makonda is the next President of Tanzania! Elimu ya juu haina uhusiano na uwezo halisi wa mtu! Nyerere alikuwa professor?
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliishia wapi maliyamungu aiseeeIddi Amin alikuwa na Mtu anayeitwa James MalyaMungu, Iddi amini akichukuia kitu hata kama hajatoa Amri kesho kile kitu kinafutika katika uso wa Dunia, Iddi Amini alikuwa akisema Kiwanuka hafai hata kidogo kesho ataambiwa maiti ya Kiwanuka iko kwenyenjokofu sehemu
MalyaMungu alikuwa anaogopwa kuliko Iddi Amini
Wewe acha kumlinganisha Nyerere na Makonda...ni sawasawa na kulinganisha usiku na mchana..Makonda is the next President of Tanzania! Elimu ya juu haina uhusiano na uwezo halisi wa mtu! Nyerere alikuwa professor?
Sent using Jamii Forums mobile app
Makonda is the next President of Tanzania! Elimu ya juu haina uhusiano na uwezo halisi wa mtu! Nyerere alikuwa professor?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui ndio chapa kileevi,,!! Mi hata sielewi, lkn mi nahisi ndio huyohuyo em ulizauliza jina lake la piliKwaiyo ndiye Bashite ni maliyamungu wa tz na Idd amini wa tz ndio nani