Tetesi: Mawaziri wanaoingiliwa majukumu na RC Makonda kuanza vikao kumjadili

Tetesi: Mawaziri wanaoingiliwa majukumu na RC Makonda kuanza vikao kumjadili

Kwanza nawacheka ha ha haaaaa
I am Cocochanel.. jeshi la mtu mmoja vs nyie wote mnaopenda kuniquote na kunisoma huku mkilia lia.. eeeeh


Wasipo andika we utasoma nini na umekalia hilo humu?

Upupwu ndio umekujaa

Naona mumeo kaguswa!

Hilo nalo umejiona umeandika.. heshinu viongozi.. nawe umejaa upupwu.

Kama wwe usivyochoka kuwatetea machoko

Umeajuaje kuna uchoko kama haupo hivyo na kufikiria wengine wapo kama wewe!?

Mkuu tupe dodoso naskia mkuu anaharibiwa, je ni kweli?

Cc Mange kimambi
Cc william Malecela
Cc Le mutuz

Jiheshinu na heshimu wengine.. usiniandikie udaku.. ungekuwa na proof ya madai yako usingepoteza sekunde bila kuweka picha.

Wewe huchoki kuusoma?

Eeeeeeeh kusoma muhimu iki niwasome nyie na kuwajua kupitia maneno mnayoandika.

Nenda instgram kwa mange kawaharibu kinoma akina le mutuz, etc !

Sijajiunga huko ulipopataja. Na naamini mtu akiraka kuandika ya kweli wewe ungeni quote kwa kuyaweka humu.. unajua ni udaku na mmeshindwa ya Lissu sasa Le Mutuz anafanya vizuri na Online TV mmeanza wivu..
 
Ndio...hayo mapinduzi anayoyaandaaaa

Mkuu, bila shaka unaelewa uwepo wa miundombinu isiyo rasmi ya madaraka (informal power structures) katika nchi zetu hizi. Hivyo, wateule na watendaji wa serikali hii ni vyema waelewe pasi na shaka Makonda ni nani hasa - kwa afya zao. Kama wanamuona ni Mkuu wa Mkoa tu, basi wajitafakari sana uwezo wao wa kufikiri.
 
hapa inatakiwa kazi tuu bila kujali nini au nani kafanya nini.
 
Iddi Amin alikuwa na Mtu anayeitwa James MalyaMungu, Iddi amini akichukuia kitu hata kama hajatoa Amri kesho kile kitu kinafutika katika uso wa Dunia, Iddi Amini alikuwa akisema Kiwanuka hafai hata kidogo kesho ataambiwa maiti ya Kiwanuka iko kwenyenjokofu sehemu
MalyaMungu alikuwa anaogopwa kuliko Iddi Amini
Pamoja na uwezo wote wa kuwakatishia wenzao uhai wako wapi sasa hivi?
 
Mkuu, bila shaka unaelewa uwepo wa miundombinu isiyo rasmi ya madaraka (informal power structures) katika nchi zetu hizi. Hivyo, wateule na watendaji wa serikali hii ni vyema waelewe pasi na shaka Makonda ni nani hasa - kwa afya zao. Kama wanamuona ni Mkuu wa Mkoa tu, basi wajitafakari sana uwezo wao wa kufikiri.
Eti eeeh
Basi hii ndio..inaanzae

Informal power
Iformal intelligence structures
Informal millitary structure
Informal financial structure
Informal logictics and procurement structure

Informal political structure
 
Tukiondoa chuki za kchama tutaelewa tu.
 
Back
Top Bottom