radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,440
- 32,260
Intelijensia ya Chadema siku hizi inapanga kufanya mauaji ya watu wanaotaka kugombea uenyekiti
Dalili za kukosa point na kuzidiwa uwezo wa kufikir
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Intelijensia ya Chadema siku hizi inapanga kufanya mauaji ya watu wanaotaka kugombea uenyekiti
Mwigulu Nchemba anawindwa kama kuku atupwe kapuni, mawaziri vijana mwaka huu kazi mnayo.... Makamba nae amepaki akipost fb na tweter......
Wasipo andika we utasoma nini na umekalia hilo humu?
Naona mumeo kaguswa!
Kama wwe usivyochoka kuwatetea machoko
Mkuu tupe dodoso naskia mkuu anaharibiwa, je ni kweli?
Cc Mange kimambi
Cc william Malecela
Cc Le mutuz
Wewe huchoki kuusoma?
Nenda instgram kwa mange kawaharibu kinoma akina le mutuz, etc !
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Aki unalinganisha mlima na kichuguu aisee.Makonda is the next President of Tanzania! Elimu ya juu haina uhusiano na uwezo halisi wa mtu! Nyerere alikuwa professor?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuu
Ndio...hayo mapinduzi anayoyaandaaaa
2 K zinatoshaWakuu wa mikoa hawahitaji kuonyesha vyeti wanapaswa wajue 3K. (Kuhesabu, Kusoma na Kuandika) maneno ya waziri wa utumishi na utawala bora
Hivi hamchoki kuandika udaku humu!?
Pamoja na uwezo wote wa kuwakatishia wenzao uhai wako wapi sasa hivi?Iddi Amin alikuwa na Mtu anayeitwa James MalyaMungu, Iddi amini akichukuia kitu hata kama hajatoa Amri kesho kile kitu kinafutika katika uso wa Dunia, Iddi Amini alikuwa akisema Kiwanuka hafai hata kidogo kesho ataambiwa maiti ya Kiwanuka iko kwenyenjokofu sehemu
MalyaMungu alikuwa anaogopwa kuliko Iddi Amini
Eti eeehMkuu, bila shaka unaelewa uwepo wa miundombinu isiyo rasmi ya madaraka (informal power structures) katika nchi zetu hizi. Hivyo, wateule na watendaji wa serikali hii ni vyema waelewe pasi na shaka Makonda ni nani hasa - kwa afya zao. Kama wanamuona ni Mkuu wa Mkoa tu, basi wajitafakari sana uwezo wao wa kufikiri.
timu wazibuliwa mitaro.Hivi hamchoki kuandika udaku humu!?
Akili yako haina tofauto Na mende aliopo chooniAkiri yako umemkabidhi nani
Huyo hamnazotimu wazibuliwa mitaro.