Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji117] [emoji117] [emoji379] [emoji379] [emoji379] [emoji379] [emoji134] [emoji134] [emoji134]Hivi hamchoki kuandika udaku humu!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji117] [emoji117] [emoji379] [emoji379] [emoji379] [emoji379] [emoji134] [emoji134] [emoji134]Hivi hamchoki kuandika udaku humu!?
Iddi Amin alikuwa na Mtu anayeitwa James MalyaMungu, Iddi amini akichukuia kitu hata kama hajatoa Amri kesho kile kitu kinafutika katika uso wa Dunia, Iddi Amini alikuwa akisema Kiwanuka hafai hata kidogo kesho ataambiwa maiti ya Kiwanuka iko kwenyenjokofu sehemu
MalyaMungu alikuwa anaogopwa kuliko Iddi Amini
Siku hizi mtu anayeitwa Makonda anaouwezo wa kuwaahidi Polisi (wa dar) kuwatafutia silaha nzuri..View attachment 585719
Mh.Makonda akikagua gwaride
Kuna tetesi kuwa mawaziri wanaoingiliwa na Mkuu wa Mkoa Dar kimajukumu wanatarajia kuanzia kesho visivyo rasmi kumjadili. Mawaziri hao wamekuwa wakilalamika Makonda kukwapua majukumu ya wizara kupita kawaida jambo linalowafanya wao waonekane wapumbavu mbele ya Rais.
Wametolea mfano Makonda kumpoka Waziri Mwigulu katika kusimamia na kuamrisha jeshi la polisi mkoa wa Dar.
Tukio la juzi Makonda kuzuia bomoa bomoa imewaumiza sana na kuonekana Waziri wa Ardhi hatimizi wajibu wake. Pia mawaziri hao wamekuwa wazito kuchukua hatua kwa masuala ya Dar es Salaam wakihofia kudhalilika ikiwa Makonda atatengua maagizo yao
Vikao hivyo vitaanza Dodoma wiki kesho na vitaendelea kwingineko kadri watakavyokuwa wanakutana
Ndio...hayo mapinduzi anayoyaandaaaaMakonda is the next President of Tanzania! Elimu ya juu haina uhusiano na uwezo halisi wa mtu! Nyerere alikuwa professor?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasipo andika we utasoma nini na umekalia hilo humu?Hivi hamchoki kuandika udaku humu!?
Lakini alisahau kitu kimoja kuwa hata yeye angekufa na kuiacha duniaIddi Amin alikuwa na Mtu anayeitwa James MalyaMungu, Iddi amini akichukuia kitu hata kama hajatoa Amri kesho kile kitu kinafutika katika uso wa Dunia, Iddi Amini alikuwa akisema Kiwanuka hafai hata kidogo kesho ataambiwa maiti ya Kiwanuka iko kwenyenjokofu sehemu
MalyaMungu alikuwa anaogopwa kuliko Iddi Amini
Kwa kauli ya leo!!!! TAYARI TUSHAFIKANajaribu kufikiria kwa nguvu.Ikitokea gap na jamaa wametoa break zote hatutajikuta tuna mfalme kweli? Dunia ina maajabu sana.
Baaaaang, .Hii kitu ndio nikuwa nafikiria ila nina maswali mengi itakuweje?Bado brain inarudisha km ndoto mhanganyiko, ngoja niendelee kuota.Makonda is the next President of Tanzania! Elimu ya juu haina uhusiano na uwezo halisi wa mtu! Nyerere alikuwa professor?
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwiii,, wanajifanya mabaunsa huku hawana marinda,,. Halafu eti nikisimama malaika husimama kushoto na kulia kwangu,,malaika hawahawa wa Mungu baba yetu mkuu wa yote waliowatia upofu watoa marinda na wazibuliwa mtaro walipowafuata na kuichoma Sodoma na Gomora,,leo hii waje kusimama nae wakati wanauona mtaro unavyozibuliwa kila sikuHuyo jamaa bado anauwezo wa "kuwaingilia" watu kweli? Si inasemekana raia wanazibua "mtaro"
Mr. PRESIDENT WHERE IS MY NOAH BEFORE I GOT 10 SHOTS.
Naona mumeo kaguswa!Hivi hamchoki kuandika udaku humu!?
teh teh. mara pwa asbh, unaambiwa Mbape ndio Mfalme wa soka wa mwaka. The story will never be the same.Kwa kauli ya leo!!!! TAYARI TUSHAFIKA
Acha ujinga!Makonda is the next President of Tanzania! Elimu ya juu haina uhusiano na uwezo halisi wa mtu! Nyerere alikuwa professor?
Sent using Jamii Forums mobile app
hao mawaziri watakuwa wapumbavu. si wajiuzuruView attachment 585719
Mh.Makonda akikagua gwaride
Kuna tetesi kuwa mawaziri wanaoingiliwa na Mkuu wa Mkoa Dar kimajukumu wanatarajia kuanzia kesho visivyo rasmi kumjadili. Mawaziri hao wamekuwa wakilalamika Makonda kukwapua majukumu ya wizara kupita kawaida jambo linalowafanya wao waonekane wapumbavu mbele ya Rais.
Wametolea mfano Makonda kumpoka Waziri Mwigulu katika kusimamia na kuamrisha jeshi la polisi mkoa wa Dar.
Tukio la juzi Makonda kuzuia bomoa bomoa imewaumiza sana na kuonekana Waziri wa Ardhi hatimizi wajibu wake. Pia mawaziri hao wamekuwa wazito kuchukua hatua kwa masuala ya Dar es Salaam wakihofia kudhalilika ikiwa Makonda atatengua maagizo yao
Vikao hivyo vitaanza Dodoma wiki kesho na vitaendelea kwingineko kadri watakavyokuwa wanakutana
Kama wwe usivyochoka kuwatetea machokoHivi hamchoki kuandika udaku humu!?