Tetesi: Mawaziri wanaoingiliwa majukumu na RC Makonda kuanza vikao kumjadili

Tetesi: Mawaziri wanaoingiliwa majukumu na RC Makonda kuanza vikao kumjadili

Makonda anachapakazi wapinzani mmekosa hoja hapo awali mliegemea kukemea ufisadi bahati mbaya mkapokea hasiye msafi
 
Iddi Amin alikuwa na Mtu anayeitwa James MalyaMungu, Iddi amini akichukuia kitu hata kama hajatoa Amri kesho kile kitu kinafutika katika uso wa Dunia, Iddi Amini alikuwa akisema Kiwanuka hafai hata kidogo kesho ataambiwa maiti ya Kiwanuka iko kwenyenjokofu sehemu
MalyaMungu alikuwa anaogopwa kuliko Iddi Amini
Huyo James Maliyamungu na Field Marshall Idi Amin Dadaa wako wapi? ukoo wao uko wapi?.
Nawashauri mawaziri wanaokerwa na mwendendo wa mtu yeyote anayeenda nje ya mipaka ya mamlaka yake wajipe mda, mda ni hakimu mwaminifu
 
View attachment 585719
Mh.Makonda akikagua gwaride

Kuna tetesi kuwa mawaziri wanaoingiliwa na Mkuu wa Mkoa Dar kimajukumu wanatarajia kuanzia kesho visivyo rasmi kumjadili. Mawaziri hao wamekuwa wakilalamika Makonda kukwapua majukumu ya wizara kupita kawaida jambo linalowafanya wao waonekane wapumbavu mbele ya Rais.

Wametolea mfano Makonda kumpoka Waziri Mwigulu katika kusimamia na kuamrisha jeshi la polisi mkoa wa Dar.

Tukio la juzi Makonda kuzuia bomoa bomoa imewaumiza sana na kuonekana Waziri wa Ardhi hatimizi wajibu wake. Pia mawaziri hao wamekuwa wazito kuchukua hatua kwa masuala ya Dar es Salaam wakihofia kudhalilika ikiwa Makonda atatengua maagizo yao

Vikao hivyo vitaanza Dodoma wiki kesho na vitaendelea kwingineko kadri watakavyokuwa wanakutana
Kama ukaguzi wa Jeshi si jukumu lake Basi analidharirisha Jeshi
 
Nionavyo mimi hao mawaziri watakua wajinga na watapoteza muda .makonda ni mbunifu hufanya yote kwaajili ya jiji la dar majukumu ya uwaziri ni nchi nzima.daah kama ni kweli hatuna wasomi huyu ambae wanasema kafoji vyeti anakua mbunifu na mtekelezaji wenyewe wapo tu.kiukweli sasa namkubali makonda kwa juhudi zake na matunda yanaonekana dar labda kwa wenyechuki tu ndo wanajifanya hawayaoni.
 
View attachment 585719
Mh.Makonda akikagua gwaride

Kuna tetesi kuwa mawaziri wanaoingiliwa na Mkuu wa Mkoa Dar kimajukumu wanatarajia kuanzia kesho visivyo rasmi kumjadili. Mawaziri hao wamekuwa wakilalamika Makonda kukwapua majukumu ya wizara kupita kawaida jambo linalowafanya wao waonekane wapumbavu mbele ya Rais.

Wametolea mfano Makonda kumpoka Waziri Mwigulu katika kusimamia na kuamrisha jeshi la polisi mkoa wa Dar.

Tukio la juzi Makonda kuzuia bomoa bomoa imewaumiza sana na kuonekana Waziri wa Ardhi hatimizi wajibu wake. Pia mawaziri hao wamekuwa wazito kuchukua hatua kwa masuala ya Dar es Salaam wakihofia kudhalilika ikiwa Makonda atatengua maagizo yao

Vikao hivyo vitaanza Dodoma wiki kesho na vitaendelea kwingineko kadri watakavyokuwa wanakutana
Ametoa amri wakandarasi wawili wasipewe kazi "mkoani kwake", hivi karibuni.
Kakiuka msingi mkuu wa Katiba ya Serikali ya 8Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Iddi Amin alikuwa na Mtu anayeitwa James MalyaMungu, Iddi amini akichukuia kitu hata kama hajatoa Amri kesho kile kitu kinafutika katika uso wa Dunia, Iddi Amini alikuwa akisema Kiwanuka hafai hata kidogo kesho ataambiwa maiti ya Kiwanuka iko kwenyenjokofu sehemu
MalyaMungu alikuwa anaogopwa kuliko Iddi Amini
ni isaac maliyamungu sio james
 
Siku hizi mtu anayeitwa Makonda anaouwezo wa kuwaahidi Polisi (wa dar) kuwatafutia silaha nzuri..
Ana pesa za kuwanunulia polisi pikipiki za misafaara ....pia kawaahidi..mazingira bora ya kazi na mikopo ya nyumba
Kwa mtu yeyote anayejua national defence hilo ni..jambo seditious.....
Amiri jeshi wa mkuu mmoja...na vyombo vyote vya ulinzi na usalama...vinapewa...mahitaji kwa...wajibu na hisani ya amiri jeshi mkuu ......
Unaposema unawapa silaha polisi unazitoa wapi ...anajua procedure ya vyombo vya ulinzi kununua silaha ????
Namshangaaa sana..Kapilimba...kulea huu.utoto ..haruhusiiwi mtu yeyote awae kutafuta utiifu kwa chombo chochoten cha ulinzi labda kama...ana mpango wa..kufanya mapinduzi siku moja
Hata waziri wa ulinzi au mambo...ya ndani mara nyingine hajui hata details za...manunuzi ya silaha na magari sembuse....kusema kapewa vifaa na..msamaria ...msamaria...gani.??????

Waziri yuko tu anaaangalia wizara inatukanishwa.
igp...yupo tu anatizama !!!!

Huuu ni..muashirio wa mtu kuwa...na vikundi visivyo rasmi..vya kijeshi ...iko siku atakua anacomand brigade yake mwenyewe.....(kwa kumuaminisha anayemtuma...iko kwa ajili yake)
Je siku akindoka madarakani hataamrisha askari wanaomtiiii yeye wamuingize kwa...nguvu????

Nashangaaa sana

Nawaonea huruma sana Serikali ya CCM itakapokuja kushtuka imemtengeneza mtu wa kupindua serikali halali.Ngoja tusubiri kwanza
 
Back
Top Bottom