msnajo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 3,066
- 1,141
C. C. Erick EricksonKuingiliwa kivipi yani
Intimacy Vs Isolation
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
C. C. Erick EricksonKuingiliwa kivipi yani
Intimacy Vs Isolation
Hujui hiyo fekero ya Lemutuz ni dume hilo. Ata asikusumbue huyo kubwa jinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo James Maliyamungu na Field Marshall Idi Amin Dadaa wako wapi? ukoo wao uko wapi?.Iddi Amin alikuwa na Mtu anayeitwa James MalyaMungu, Iddi amini akichukuia kitu hata kama hajatoa Amri kesho kile kitu kinafutika katika uso wa Dunia, Iddi Amini alikuwa akisema Kiwanuka hafai hata kidogo kesho ataambiwa maiti ya Kiwanuka iko kwenyenjokofu sehemu
MalyaMungu alikuwa anaogopwa kuliko Iddi Amini
una macho makali sanaOut of topic, hawa Askari wetu kweli wanapewa muda wa mazoezi? Muda huu ni masa nane kwa wiki ambayo yako kwenye malipo yao. Si kwa vifriji hivyo walivyovibeba
Kama ukaguzi wa Jeshi si jukumu lake Basi analidharirisha JeshiView attachment 585719
Mh.Makonda akikagua gwaride
Kuna tetesi kuwa mawaziri wanaoingiliwa na Mkuu wa Mkoa Dar kimajukumu wanatarajia kuanzia kesho visivyo rasmi kumjadili. Mawaziri hao wamekuwa wakilalamika Makonda kukwapua majukumu ya wizara kupita kawaida jambo linalowafanya wao waonekane wapumbavu mbele ya Rais.
Wametolea mfano Makonda kumpoka Waziri Mwigulu katika kusimamia na kuamrisha jeshi la polisi mkoa wa Dar.
Tukio la juzi Makonda kuzuia bomoa bomoa imewaumiza sana na kuonekana Waziri wa Ardhi hatimizi wajibu wake. Pia mawaziri hao wamekuwa wazito kuchukua hatua kwa masuala ya Dar es Salaam wakihofia kudhalilika ikiwa Makonda atatengua maagizo yao
Vikao hivyo vitaanza Dodoma wiki kesho na vitaendelea kwingineko kadri watakavyokuwa wanakutana
Intelijensia ya Chadema siku hizi inapanga kufanya mauaji ya watu wanaotaka kugombea uenyekiti[/QUO
Corrupt mind
Pita mbali
Napita tyuuuUshauri wangu bora waachie ngazi kuliko kuondoka kwa fedheha na kushikiwa bastola kama Nape. Makonda ni mtoto wa Ikulu, pia anaongoza HIT SQUAD, ana ulinzi kuliko wao.
Ametoa amri wakandarasi wawili wasipewe kazi "mkoani kwake", hivi karibuni.View attachment 585719
Mh.Makonda akikagua gwaride
Kuna tetesi kuwa mawaziri wanaoingiliwa na Mkuu wa Mkoa Dar kimajukumu wanatarajia kuanzia kesho visivyo rasmi kumjadili. Mawaziri hao wamekuwa wakilalamika Makonda kukwapua majukumu ya wizara kupita kawaida jambo linalowafanya wao waonekane wapumbavu mbele ya Rais.
Wametolea mfano Makonda kumpoka Waziri Mwigulu katika kusimamia na kuamrisha jeshi la polisi mkoa wa Dar.
Tukio la juzi Makonda kuzuia bomoa bomoa imewaumiza sana na kuonekana Waziri wa Ardhi hatimizi wajibu wake. Pia mawaziri hao wamekuwa wazito kuchukua hatua kwa masuala ya Dar es Salaam wakihofia kudhalilika ikiwa Makonda atatengua maagizo yao
Vikao hivyo vitaanza Dodoma wiki kesho na vitaendelea kwingineko kadri watakavyokuwa wanakutana
ni isaac maliyamungu sio jamesIddi Amin alikuwa na Mtu anayeitwa James MalyaMungu, Iddi amini akichukuia kitu hata kama hajatoa Amri kesho kile kitu kinafutika katika uso wa Dunia, Iddi Amini alikuwa akisema Kiwanuka hafai hata kidogo kesho ataambiwa maiti ya Kiwanuka iko kwenyenjokofu sehemu
MalyaMungu alikuwa anaogopwa kuliko Iddi Amini
Siku hizi mtu anayeitwa Makonda anaouwezo wa kuwaahidi Polisi (wa dar) kuwatafutia silaha nzuri..
Ana pesa za kuwanunulia polisi pikipiki za misafaara ....pia kawaahidi..mazingira bora ya kazi na mikopo ya nyumba
Kwa mtu yeyote anayejua national defence hilo ni..jambo seditious.....
Amiri jeshi wa mkuu mmoja...na vyombo vyote vya ulinzi na usalama...vinapewa...mahitaji kwa...wajibu na hisani ya amiri jeshi mkuu ......
Unaposema unawapa silaha polisi unazitoa wapi ...anajua procedure ya vyombo vya ulinzi kununua silaha ????
Namshangaaa sana..Kapilimba...kulea huu.utoto ..haruhusiiwi mtu yeyote awae kutafuta utiifu kwa chombo chochoten cha ulinzi labda kama...ana mpango wa..kufanya mapinduzi siku moja
Hata waziri wa ulinzi au mambo...ya ndani mara nyingine hajui hata details za...manunuzi ya silaha na magari sembuse....kusema kapewa vifaa na..msamaria ...msamaria...gani.??????
Waziri yuko tu anaaangalia wizara inatukanishwa.
igp...yupo tu anatizama !!!!
Huuu ni..muashirio wa mtu kuwa...na vikundi visivyo rasmi..vya kijeshi ...iko siku atakua anacomand brigade yake mwenyewe.....(kwa kumuaminisha anayemtuma...iko kwa ajili yake)
Je siku akindoka madarakani hataamrisha askari wanaomtiiii yeye wamuingize kwa...nguvu????
Nashangaaa sana
[emoji379] [emoji379] [emoji379] za nini??? MUKE YA BASHITTE[emoji480] [emoji12]Hivi hamchoki kuandika udaku humu!?
[emoji379] [emoji379] [emoji379] za nini??? MUKE YA BASHITTE[emoji480] [emoji12]
Sent using Jamii Forums mobile app