Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakae tu hivyo vikao vya harusiView attachment 585719
Mh.Makonda akikagua gwaride
Kuna tetesi kuwa mawaziri wanaoingiliwa na Mkuu wa Mkoa Dar kimajukumu wanatarajia kuanzia kesho visivyo rasmi kumjadili. Mawaziri hao wamekuwa wakilalamika Makonda kukwapua majukumu ya wizara kupita kawaida jambo linalowafanya wao waonekane wapumbavu mbele ya Rais.
Wametolea mfano Makonda kumpoka Waziri Mwigulu katika kusimamia na kuamrisha jeshi la polisi mkoa wa Dar.
Tukio la juzi Makonda kuzuia bomoa bomoa imewaumiza sana na kuonekana Waziri wa Ardhi hatimizi wajibu wake. Pia mawaziri hao wamekuwa wazito kuchukua hatua kwa masuala ya Dar es Salaam wakihofia kudhalilika ikiwa Makonda atatengua maagizo yao
Vikao hivyo vitaanza Dodoma wiki kesho na vitaendelea kwingineko kadri watakavyokuwa wanakutana
Eti eeeh
Basi hii ndio..inaanzae
Informal power
Iformal intelligence structures
Informal millitary structure
Informal financial structure
Informal logictics and procurement structure
Informal political structure
Mungu wangu!!!!!!!Makonda is the next President of Tanzania! Elimu ya juu haina uhusiano na uwezo halisi wa mtu! Nyerere alikuwa professor?
Sent using Jamii Forums mobile app
timu wazibuliwa mitaro.
Kwanza nawacheka ha ha haaaaa
I am Cocochanel.. jeshi la mtu mmoja vs nyie wote mnaopenda kuniquote na kunisoma huku mkilia lia.. eeeeh
Jiheshinu na heshimu wengine.. usiniandikie udaku.. ungekuwa na proof ya madai yako usingepoteza sekunde bila kuweka picha.[QUOTE ]
Tehe tehe tehe, we mamawe mbavu zangu!Huyo jamaa bado anauwezo wa "kuwaingilia" watu kweli? Si inasemekana raia wanazibua "mtaro"
Mr. PRESIDENT WHERE IS MY NOAH BEFORE I GOT 10 SHOTS.
🙁🙁🙁🙁
bashite is a threat in this regime,they have to stay with that precaution....Iddi Amin alikuwa na Mtu anayeitwa James MalyaMungu, Iddi amini akichukuia kitu hata kama hajatoa Amri kesho kile kitu kinafutika katika uso wa Dunia, Iddi Amini alikuwa akisema Kiwanuka hafai hata kidogo kesho ataambiwa maiti ya Kiwanuka iko kwenyenjokofu sehemu
MalyaMungu alikuwa anaogopwa kuliko Iddi Amini
Kinyago walichokichonga wenyewebashite is a threat in this regime,they have to stay with that precaution....
We have almost reached that stage. Mzee akikusema vibaya hadharani tu, kama una shamba, kaa chonjo. Kama una nyumba ipo karibu na barabara, kaa chonjo maana wataibuka na sheria za za mwaka 1897. Kama ni Politician, kimbilia Nairobi mapema.Iddi Amin alikuwa na Mtu anayeitwa James MalyaMungu, Iddi amini akichukuia kitu hata kama hajatoa Amri kesho kile kitu kinafutika katika uso wa Dunia..
Hujui hiyo fekero ya Lemutuz ni dume hilo. Ata asikusumbue huyo kubwa jingaHuchoki kumtetea bashite aka waziri wa wizara zote
Siku zote, ukiona mtu anaingilia majukumu ya mwingine, basi jua inawezekana kuna nafasi ni dublicate...View attachment 585719
Mh.Makonda akikagua gwaride
Kuna tetesi kuwa mawaziri wanaoingiliwa na Mkuu wa Mkoa Dar kimajukumu wanatarajia kuanzia kesho visivyo rasmi kumjadili. Mawaziri hao wamekuwa wakilalamika Makonda kukwapua majukumu ya wizara kupita kawaida jambo linalowafanya wao waonekane wapumbavu mbele ya Rais.
Wametolea mfano Makonda kumpoka Waziri Mwigulu katika kusimamia na kuamrisha jeshi la polisi mkoa wa Dar.
Tukio la juzi Makonda kuzuia bomoa bomoa imewaumiza sana na kuonekana Waziri wa Ardhi hatimizi wajibu wake. Pia mawaziri hao wamekuwa wazito kuchukua hatua kwa masuala ya Dar es Salaam wakihofia kudhalilika ikiwa Makonda atatengua maagizo yao
Vikao hivyo vitaanza Dodoma wiki kesho na vitaendelea kwingineko kadri watakavyokuwa wanakutana