Redirect NoticeKwa jinsi unavyoonyesha ww wamekwishakudadavua sana huo mtaro, yaani hapo marinda yote wameyadadavua hamna hata alama yaani mfereji full midadavuo kwa kuzibuliwa. Post zako tu mbona zinajieleza
Sent using Jamii Forums mobile app
anategemea sana hiyo kitu lakini HAITATOKEA NG'OMakonda is the next President of Tanzania! Elimu ya juu haina uhusiano na uwezo halisi wa mtu! Nyerere alikuwa professor?
Sent using Jamii Forums mobile app
Matunda gani hasa ?ama mabiboNionavyo mimi hao mawaziri watakua wajinga na watapoteza muda .makonda ni mbunifu hufanya yote kwaajili ya jiji la dar majukumu ya uwaziri ni nchi nzima.daah kama ni kweli hatuna wasomi huyu ambae wanasema kafoji vyeti anakua mbunifu na mtekelezaji wenyewe wapo tu.kiukweli sasa namkubali makonda kwa juhudi zake na matunda yanaonekana dar labda kwa wenyechuki tu ndo wanajifanya hawayaoni.
Kuna tofauti kati ya UDAKU na TETESI.Hivi hamchoki kuandika udaku humu!?
Kama kuna kirusi cha siasa hawa jamaa uliowataja ni waathirika, Nape tayari.Mwigulu Nchemba anawindwa kama kuku atupwe kapuni, mawaziri vijana mwaka huu kazi mnayo.... Makamba nae amepaki akipost fb na tweter......
Ni sawa na kachero ila mission nyingi zake huwa zana fail hapo ndipo ninapoamini Mungu anamuona.DAB ni afisa a mwandamizi sana katika serikali hii
Leo yuko wapi?Wakuu wa mikoa hawahitaji kuonyesha vyeti wanapaswa wajue 3K. (Kuhesabu, Kusoma na Kuandika) maneno ya waziri wa utumishi na utawala bora
Funguka kiduchu, tumia hata lugha ya mamaChoko choko za kumyofoa mwigulu zimeanza
[emoji124]♂️naenda zimbobo.
Mkuu acha mzaha.Makonda is the next President of Tanzania! Elimu ya juu haina uhusiano na uwezo halisi wa mtu! Nyerere alikuwa professor?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unaeleza kile macho yanaona, wenzako wanaeleza yalio nyuma ya Pazia kile Mwananchi wa Mpwapwike hawezi kuona!Wao hawana uchungu na wananchi Makonda anaenda chini kwa wananchi na kutatua matatizo yao...Hata zoezi la kuimalisha jeshi la polisi nijitihada binafsi wao wanashindwa kutumia resouces yeye anazitumia wanahaha sasa kapeleka magari ya polisi karibu 100 kuyatengeneza Mwigulu alikuwa wapi unakuta gari limesimama kwasababu ya spare ya 500,000 kweli??yeye RC Makonda kajipenyeza kwa wafanya biashara wamechangia kaenda kwa wakorea kaomba kujengewa wodi Kigwangara na Ummy wapo sasa nani alaumiwe???Kaenda kwa ubalozi wa china kaomba kujengewa uwanja Nape alikuwepo Mwakyembe yupo!Kawaomba pikipiki za polisi Mwigulu anaona je hapo nani alaumiwe??acheni porojo Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni!
Sent using Jamii Forums mobile app