Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana hela hadi wanaogopa kufa yaani, Hela watamuachia nani?
Hoja nzito ila umeijibu kinyumbu sana boss.Hii toilet paper bado ipo? Gazeti zima anaandika mtu mmoja, anajibadilisha majina tu, mara mwandishi wetu, mara sijui nani
watazitapika soon!
achana na hilo lafaHoja nzito ila umeijibu kinyumbu sana boss.
Watu wana hadi vyumba vimejaa noti, wewe utaishia kuvishwa fulana zenye picha ya Samia tu au Mama ongea na mwanaoHii toilet paper bado ipo? Gazeti zima anaandika mtu mmoja, anajibadilisha majina tu, mara mwandishi wetu, mara sijui nani
Sababu bado watu wanaendelea kunyaHii toilet paper bado ipo? Gazeti zima anaandika mtu mmoja, anajibadilisha majina tu, mara mwandishi wetu, mara sijui nani
Hawa machawa wanapata hela ya mlo tu wengekuwa na akili wengeenda hata kubeba zege wajifunze namna ya kuishi bila uchawa..Watu wana hadi vyumba vimejaa noti, wewe utaishia kuvishwa fulana zenye picha ya Samia tu au Mama ongea na mwanao
Hawataki kutuajiri af wanaiba.
Hakuna wa kuwatapisha serikali hii acha kujilisha upepo kiongozi, ndio urefu wa kamba zaowatazitapika soon!
watu wanakufa Hospitalini kwa kukosa huduma, vijijini watu wanakunywa maji kwenye madimbwi na mifugo wao wanachezea Kodi za wananchi! Their days are numbered!
mark my words