Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Jenga tabia kuvumilia ukweli.Hii toilet paper bado ipo? Gazeti zima anaandika mtu mmoja, anajibadilisha majina tu, mara mwandishi wetu, mara sijui nani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jenga tabia kuvumilia ukweli.Hii toilet paper bado ipo? Gazeti zima anaandika mtu mmoja, anajibadilisha majina tu, mara mwandishi wetu, mara sijui nani
Rizi yumoMwigulu hakosi hapo
Hawezi!Hatari sana.
1.
2.
3.
4.
5.
?
Nani hafanyi kazi boss, mbona unataka kufanya kama kazi ya uwaziri ni ngumu sana, na wanaofanya wanafanya kwa kujitolea? Hao wanalipwa mishahara tena isiyoendana na wanachofanya, iweje waibe na nyingine?Nani ambaye hataki hela, acheni unafiki.
Mawaziri wanafanya kazi kubwa sana hapa nchini.
Wanalitumikia taifa kwa uzalendo mkubwa na wa ajabu.
Umewahi kuwa waziri ?Nani hafanyi kazi boss, mbona unataka kufanya kama kazi ya uwaziri ni ngumu sana, na wanaofanya wanafanya kwa kujitolea? Hao wanalipwa mishahara tena isiyoendana na wanachofanya, iweje waibe na nyingine?
Nilijua tuu
hata kama ni mnufaika apunguze kuwa m'binafsi!Labda ni mnufaika
No condition is permanent. Nani alijua kuwa Magu angezisizi hela za mafisadi kwenye akaunti. safari hii tutazifuatilia hata zile za nje ya nchi. Tutaanza na zile za kwenye madiaba majumbani.Hakuna wa kuwatapisha serikali hii acha kujilisha upepo kiongozi, ndio urefu wa kamba zao
Nani hao? Kama hawajatajwa ni majungu.
Haramu inanukaKumbe utajiri unanuka siku hizi
Ahahahahaha! Kwa maana wewe unaogopa kuwataja! Ahahahahaha! Keyboard Warriors mnafurahisha sana! Ahahahahaha!!!Nunua gazeti, usome
Mwigulu hakosi hapo
UWT mmeguswa wajinga wakubwa nyie, wenzenu wanaiba mali za umma nyie mnakata viuno na pombe za bureHii toilet paper bado ipo? Gazeti zima anaandika mtu mmoja, anajibadilisha majina tu, mara mwandishi wetu, mara sijui nani