Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hao wanaiba vizuri snBashe na MKWE MWENYE KIFUA KIPANA pia hawakosi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wanaiba vizuri snBashe na MKWE MWENYE KIFUA KIPANA pia hawakosi.
Una akili kweli kwenye Hilo bichwa?.Ahahahahaha! Kwa maana wewe unaogopa kuwataja! Ahahahahaha! Keyboard Warriors mnafurahisha sana! Ahahahahaha!!!
System imejaa majangili tupumdogo wake na kulwa, ana mwaga mpunga hovyo.
Kuanzia aliyewateua ni balaa tupuNaona wametajwa wachache
Kabisa mkuuKuanzia aliyewateua ni balaa tupu
Mifumo imeoza, hakuna mradi ameanzisha hata mmoja zaidi ya mradi wa chawaKabisa mkuu
Anaandika ya uongo?Gazeti zima anaandika mtu mmoja
Definitely!Mwigulu hakosi hapo
Mimi sina ila wewe unazo nyingi sana! Ahahahahaha!!!Una akili kweli kwenye Hilo bichwa?.
Kuna kigogo mmoja namjuwa jina kapuni ana nyumba zaidi 5Siyo watano tu Bali ni zaidi ya kumi wamekuwa matrilionea.Awamu za kifisadi kama hii lazima kupata matrilionea kupitia ufujaji wa pesa za umma.
Sana, uongo sanaAnaandika ya uongo?
Mimi sinywi pombe, nakunywa maji na juisi, halafu sio mpenzi wa muzikiUWT mmeguswa wajinga wakubwa nyie, wenzenu wanaiba mali za umma nyie mnakata viuno na pombe za bure
1. MwiguluUsipowataja itakuwa ni umbea
Ndio mkuu kuna ile harufu ya noti mpyaKumbe utajiri unanuka siku hizi