reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Mavunde naeMwigulu hakosi hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mavunde naeMwigulu hakosi hapo
Wewe nilikustukia kitambo sana.Lissu kesho kutwa atakuwa tajiri sana baada ya kula ruzuku
Kubwa mnoYeah humu ni chaka kubwa sana
1. Mwiiiiii gurudumuHatari sana.
1.
2.
3.
4.
5.
?
KufanyajeWewe nilikustukia kitambo sana.
pesa ni ya kutafuta kwa bidii na kunitumia vizuri ipasavyo my friends ladies and gentlemen,Wana hela hadi wanaogopa kufa yaani, Hela watamuachia nani?
Waende marekani kule kwa kutumia mabilioni yao wakaongee na Elon musk awatengenezee dawa ya kutokufa au ya kutozeekaWana hela hadi wanaogopa kufa yaani, Hela watamuachia nani?
Unasemajee?Yule wa Singida anakimbizana na Elon musk
😆😆😆 Na bado!Kufanyaje
[emoji23][emoji23] na chasambiKuna Maviwanda yao Kibaha na maeneo makubwa watu wamejikatia nyie mkiwa mnajadili akina Mukwala na Nzhengeli.
Na wale madaktari alitaka watu wajue kuwa alikuwa nao wengi tu lakini walishindwa kuzuia roho yake isitoke 😅🙏Uko vizuri boss. Umenikumbusha mbali. Hata yule mfalme maarufu Elexander the Great aliliona hilo na alipokuwa ktk hatua za mwisho za uhai wake aliwaita makanda wake na kuwaamuru kwamba akifa jeneza lake sharti libebwe na madaktari na mikono yake iwe wazi nje ya hilo jeneza. Akawasainisha Hati ya Maagizo. Alipoulizwa alisema ni ili raia wake wajue dhahir kwamba alikuja pasi na kitu na ameondoka pasi na kitu. Yoote ameyaacha hapa hapa duniani kama alivyoyakuta hajaondoka na chochote.
Sasa ARV ni mshikemshike kwa kwenda mbere ! 😳Waambie USAID haipo Tena
Work hard like wabeba zege and wasukuma toroli Gentlemen !pesa ni ya kutafuta kwa bidii na kunitumia vizuri ipasavyo my friends ladies and gentlemen,
vinginevyo utaishia umbea, porojo na story za pata potea mitandaoni, ati sijui nani ana pesa kiasi gani, huku umikenua meno tu na uvivu kama wote
you must work hard completely 🐒
tajiri sio dhambi na wala sio muhimu sana kuwa nao isipokuwa dhambi ni pale unapoingia ulingoni ukiwa mutu ya kawaida tu then baada ya miaka mitano unakuwa kibopa wa kutupwa 😳Utajiri sio dhambi
Kuna Waziri hamumuoni lakini ni balaa, Kijana Mavunde1. Mwigulu
2. Biteko
3. Mchengerwa
4. Ridhiwani
5. Aweso
Yeah. Na wenzetu wakasema "Hakuna ugonjwa usiokuwa na dawa isipokuwa umauti."Na wale madaktari alitaka watu wajue kuwa alikuwa nao wengi tu lakini walishindwa kuzuia roho yake isitoke 😅🙏