Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Sasa mbona hapo mwandishi wetu na sijui nani ni watu wawili?Gazeti zima anaandika mtu mmoja, anajibadilisha majina tu, mara mwandishi wetu, mara sijui nani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mbona hapo mwandishi wetu na sijui nani ni watu wawili?Gazeti zima anaandika mtu mmoja, anajibadilisha majina tu, mara mwandishi wetu, mara sijui nani
Sasa mbona hapo mwandishi wetu ma sijui nani ni watu wawili?
) huwa anaweka hata majina ya uongoSasa mbona hapo mwandishi wetu ma sijui nani ni watu wawili?
Kwa mfano, kwa kusoma hapo juu Kwa gazeti, kipi unaona kimekosewa?.Hii toilet paper bado ipo? Gazeti zima anaandika mtu mmoja, anajibadilisha majina tu, mara mwandishi wetu, mara sijui nani
Ahahahahaha! Miaka linaanza nilikuwa naweka oda ya mwezi kabisa! Leo hii sijui hata kama bado lipo!!Hii toilet paper bado ipo? Gazeti zima anaandika mtu mmoja, anajibadilisha majina tu, mara mwandishi wetu, mara sijui nani
Kila kituKwa mfano, kwa kusoma hapo juu Kwa gazeti, kipi unaona kimekosewa?.
Mpina kasema kuna Trillions zilikopwa lakini hazikuingia kwenye mfuko wa serikali.Mwigulu hakosi hapo
Mungu hajatuumbia Huu UMASIKINAmani ya moyo yatosha 😊
Tunaishi kwa neema na mapenzi ya Allah SWT sio pesa nyingiii. Tulikuja duniani hatuna na tutakapoondoka tutaacha kila kitu.
Msipaniki ndugu zangu.
Wewe unaona kipi kimepatiwa?Kwa mfano, kwa kusoma hapo juu Kwa gazeti, kipi unaona kimekosewa?.
Bidhaa feki zazidisha UMASIKIN, Trump aacha maumivu nchini, Rwanda Uganda M23, CHADEMA kuja kivingine .Wewe unaona kipi kimepatiwa?
Mchengerwa kama hayupo hiyo list ni fake.
Tutajie majina na Kiasi walichokuwa nacho kabla na walichonacho sasa tuione hiyo tofauti. Na nakuapia, ukiwataja majina na Jamii Check ikathibitisha, naleft JFBidhaa feki zazidisha UMASIKIN, Trump aacha maumivu nchini, Rwanda Uganda M23, CHADEMA kuja kivingine .
Kwahiyo Wee na Ujuha wako, Mwandishi kugusa mawaziri watano ,ndo gazeti limekosea?.
Hao mawaziri ni watu , tunaishi nao, wanajulikana kabla ya Vyeo walikua na kiasi gan, je sio sahihi watu kuhoji huo Utajiri wa ghafla umepatikanaje?.
Si ununue gazeti mkuu ni buku tuUsipowataja itakuwa ni umbea
Nunua gazeti, usomeTutajie majina na Kiasi walichokuwa nacho kabla na walichonacho sasa tuione hiyo tofauti. Na nakuapia, ukiwataja majina na Jamii Check ikathibitisha, naleft JF
MAZIMA!!!
Labda ni mnufaikaachana na hilo lafa
Hatari sana.
1.
2.
3.
4.
5.
?
Hilo linaeleweka Mkuu, hoja yangu ya msingi imejikita kwa namna ambavyo mleta uzi kaandika hapa. Adui namba moja wa mtu ni njaa na unaoufuata ni umasikiniMungu hajatuumbia Huu UMASIKIN