Mawaziri watu wazima (Wazee) iwe funzo kwa vijana

Mawaziri watu wazima (Wazee) iwe funzo kwa vijana

1. Natazama Mkutano wa Africa Energy Summit mawaziri toka Zambia, Nigeria, Ivory Coast, Afrika Kusini na Kenya wazee tupu.

2. Vijana wapo bize wanabet wengine wanapakazana uchafu tu. Inasikitisha
Hao wazee wanapesa hapa huwezi kupata uongozi bila rushwa
 
Nyie vijana tutawanyoosha mpaka mkome nishasema katibu wa wababu hapa
1000345544.jpg
 
Back
Top Bottom