Mawazo kuhusu biashara ya Bahasha za khaki / Paper Bags

Mawazo kuhusu biashara ya Bahasha za khaki / Paper Bags

equator

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2016
Posts
209
Reaction score
124
1616795675145.png

Habari?

Jina Langu ni Mr Equator. Ni kijana ambaye najaribu kuyatafuta maisha. kwa njia mbali mbali.

Nimekuwa nikitafuta wazo la biashara ya pembeni (Side-hustle) ya mtaji kati ya Laki 1-2. Kwenye pita pita zangu nimepata wazo la biashara ya bahasha na nika angalia video baadhi Youtube. Nika pata ka mwelekeo kidogo.

Mimi swali langu ni je ushawahi kufanya biashara hii?

Je una hitaji na unapata changamoto?

Soko lake likoje?

Wanaouza kwa jumla wanauza kwa bei gani?

Wazo gani unaweza ukamshauri kijana kama mimi mwenye masaa 4 kuwekeza mwenye mtaji wa kama laki 1 au 2.
 

Habari?

Jina Langu ni Mr Equator. Ni kijana ambaye najaribu kuyatafuta maisha. kwa njia mbali mbali.

Nimekuwa nikitafuta wazo la biashara ya pembeni (Side-hustle) ya mtaji kati ya Laki 1-2. Kwenye pita pita zangu nimepata wazo la biashara ya bahasha na nika angalia video baadhi Youtube. Nika pata ka mwelekeo kidogo.

Mimi swali langu ni je ushawahi kufanya biashara hii?

Je una hitaji na unapata changamoto?

Soko lake likoje?

Wanaouza kwa jumla wanauza kwa bei gani?

Wazo gani unaweza ukamshauri kijana kama mimi mwenye masaa 4 kuwekeza mwenye mtaji wa kama laki 1 au 2.
kiwandani wanauza 1600pcs kwa 64,000 tu mpigie 0717367693
 
VP ulifanikiwa kuanza? biashara inaendeleaje
 
Mkifanikiwaga kwny hizo biashara muwe mnaleta mrejesho ili kuwasanua wengine wajue njia ipi inatoa.
 
Back
Top Bottom