Tzania
Member
- Jul 23, 2019
- 31
- 12
Habari zenu wakuu.
Natumaini wazima humu wote hebu tusaidiane mawazo wakuu mimi ni muajiriwa takribani 10 years kwa wahindi nimejitahidi nimebana kahela kangu nikafungua kaduka ka chakula kama chenye thamani ya 6,000,000 kana kama 2month Hadi sasa.
Kwa mawazo yangu niliitaji kukatia mkataba na mtu awe ananipa 30000 kwa kila siku kwa muda wa mwaka mmoja na miezi 3 baada ya hapo ofisi iwe yake je niko sahihi au nitakuwa nimefeli kwakuwa nikikomaa mwenyewe naona Kama hela nyingi natumia kiholela.
Je, nitakuwa nipo sahihi hapo kila kitu kuanzia mkataba? Ni juu yake mimi naitaji hela tu.
Natumaini wazima humu wote hebu tusaidiane mawazo wakuu mimi ni muajiriwa takribani 10 years kwa wahindi nimejitahidi nimebana kahela kangu nikafungua kaduka ka chakula kama chenye thamani ya 6,000,000 kana kama 2month Hadi sasa.
Kwa mawazo yangu niliitaji kukatia mkataba na mtu awe ananipa 30000 kwa kila siku kwa muda wa mwaka mmoja na miezi 3 baada ya hapo ofisi iwe yake je niko sahihi au nitakuwa nimefeli kwakuwa nikikomaa mwenyewe naona Kama hela nyingi natumia kiholela.
Je, nitakuwa nipo sahihi hapo kila kitu kuanzia mkataba? Ni juu yake mimi naitaji hela tu.