Mawazo na ushauri wako vitanisaidia.

Achukue ushauri huu hii kukimbiakimbia wala haina maana anajitesa tu hata angekuwa na laki tano bado kutoboa hicho kibunda ngumu kwa sababu ana presha mno!
Ni kheri arudi akafanye biashara zake huku akilipa kidogo kidogo!
 
Na pale alipoanza na mtaji wa 20,000 kisha akapanda chati kwa kasi ya 4G

Chai.
 
Mkuu matatizo hayakimbiwi, kule o level huku soma kile kitabu cha Black hermit? Kama ni kweli, hongera sana kwa mapambano. Usijali utanyenyuka tena.
 
Ulivyokimbia ndo umeharibu kabisa, deni halifungi mkuu Bora mngeenda kisheria mjue utalipa vipi deni la watu, au uliogopa watakuua

Ila story yako Ina ukakasi sana, kama hutojali naomba unijibu,
1.
kwa utandawazi huu inakuaje unalala na milioni 12 ndani tena pesa ya watu, wakala wa bank wamejaa Kila Kona,
2.
alafu hiko kikundi chenu mlichanga milioni 12 kwa siku Moja wakakupa wewe au ni pesa ulizokua unapewa kidogo kidogo?
3.


Ndugu mleta maada, mbona sioni majibu ya hayo maswali matatu hapo juu?
 
Pole sana. Hizi ni changamoto za maisha. Endelea kupambana kiume
 
Sasa wee uko stable economically? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maajabu hayaishi ktk hii Dunia, wallah. Khaaah
 
Sasa wee uko stable economically? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maajabu hayaishi ktk hii Dunia, wallah. Khaaah
Nipo stable economically kwa mgongo wa auntiel πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
1.

2.

3.




Ndugu mleta maada, mbona sioni majibu ya hayo maswali matatu hapo juu?
Maswali huwa ni mengi sana hasa linapokuwa halijakufika lolote lile. Kwa hivyo basi hata hapa majibu yake sina kwa maana hata nikijitahidi kukuelezea haitasaidia kitu kwa kuwa ushaweka DOUBT katika maelezo yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…