Kiwalani finest
Member
- Jul 6, 2024
- 97
- 72
Waafrika tunatengenezewa Ufukara wa kulazimishiwa na kutishwa tishwa ili wachache walioamua kuishi maisha ya Anasa kwa Jasho la mafukara wasihojiwe lolote.
Na mbaya zaidi wanazidi kuwaza mbinu za kuzidi kumfunya fukara awe fukara kwa kumuwekea viaongozi watokanao na safu wasiokuwa na msaada Wala faida kwa nchi.
Akina ndiyo na Kisha kuwalinda kwa udi na uvumba
Unafiki Mtupu kuonyesha meno meupe huku roho zikiwa nyeusi na hazina dhamura njema kwa mafukara kwa kujifanya wanazifumbia macho kanuni za kuwawajibisha Viongozi wanaonuka wasiotakiwa na Mafukara kuwa Katika Vyeo walivyo navyo walivyo vipata kimaghumashi
Na mbaya zaidi wanazidi kuwaza mbinu za kuzidi kumfunya fukara awe fukara kwa kumuwekea viaongozi watokanao na safu wasiokuwa na msaada Wala faida kwa nchi.
Akina ndiyo na Kisha kuwalinda kwa udi na uvumba
Unafiki Mtupu kuonyesha meno meupe huku roho zikiwa nyeusi na hazina dhamura njema kwa mafukara kwa kujifanya wanazifumbia macho kanuni za kuwawajibisha Viongozi wanaonuka wasiotakiwa na Mafukara kuwa Katika Vyeo walivyo navyo walivyo vipata kimaghumashi