Mawazo, ushauri, maoni yenu wadau

Mawazo, ushauri, maoni yenu wadau

Nimefuta sana ila narudia tena kudownload tena, shida kupata kitu cha kuniweka busy
Daah pole sana asee, unapaswa kufuta kama ni apps au site zote zinazokufanya u access hizo mambo na usijaribu tena kabisa kuzitaka.

Pia tafta vitu vitakavyokufanya uwe bize mfano reading, movies and football, kwenye football tafta uwanja kabisa wanapofanya mazoezi wadau anza kusakata kabumbu ukirudi baadae home upo hoi wala hutawaza huo ujinga brother.
 
Kuna uzi huo niliuandika 2023


 
Nimefuta sana ila narudia tena kudownload tena, shida kupata kitu cha kuniweka busy
Yaonekana unakaa pekee yako sana kwa saa nyingi mdau, hili nalo ni tatizo.
 
TAFUTA KITABU CHA GARY WILSON YOUR BRAIN ON PORN uje uone unavyojiangamiza kwa kutazama mikasi..

All in all....WATCHING PORN MAKES YOU A LOSER...
 
Yaonekana unakaa pekee yako sana kwa saa nyingi mdau, hili nalo ni tatizo.
Ni kweli ata mimi naona kama si mtu katika jamii hivyo hukaa peke muda mwingi
 
Kwanza kutoshiriki mapenzi sio kosa labda ujilaumu,,kwa umri huo ni vizur ukajilinda mpaka pale utakapo amua kuwa na mwenza rasmi

Shida ipo kwenye porno,,tena ni shida kubwa sana,sehemu ya madhara ambayo utayapata ukija kuwa na mwenza ni kuwa utakosa hisia kwake mpaka ukumbuke picha za kwenye porno,,yaani mtoto yupo mbele yako lkn mzuka hauji kabisa mpaka uvute picha uliyoiona katika porno

Pili,kumwaga fasta ni sekunde tu,kwasababu porno inakujenga au inafanya ubongo wako ujenge taswira ya kukojoa fasta kutokana na hisia unazo zipata unapo angalia porno

Porno inaenda sambamba na masterbation,,una hatar kubwa ya kuua mishipa midogo midogo katika uume wako na kuufanya uwe legelege na usio na nguvu kabisa,,hapo uanaume wako una sema thank you hivi hivi

Pambana na huo uraibu,kwanza tafuta app ambazo zinakuwezesha kutoruhusu simu yako kuonyesha porn

Pili tafuta kitu mbadala kwa maana pale unapojisikia kutaka kuchek porn basi unashift mind yako kwa kufanya jambo lingine,,na usipende kukaa peke yako kwakuwa ukiwa peke yako tu ndio zile hisia zitakujia na kukushinda nguvu

Kila la kheri
Jamaa achukue huu ushauri aufanyie kazi naamini utamsaidia sana
 
Back
Top Bottom