Mawazo ya viongozi wetu juu ya Covid-19

Mawazo ya viongozi wetu juu ya Covid-19

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
UNPATRIOTIC! Mng'ang'ana hawajatangaza Corona ipo, Kwani Corona ni kama mwewe au mwizi unaweza kuifukuza kwa mayowe!? Eti hawajatoa takwimu, Hivi tukifanya sensa kila asubuhi nani anaumwa na kutaja kama mafungulio ya wafungwa ndio wanapona?

Tukitaja waliopoteza Maisha hata wa magonjwa mengine tuseme ni corona ili idadi iwe kubwa ndio corona itatuonea huruma iondoke? Tukiwatisha sana watu wakawa na hofu sana ndio corona itakimbia?

Mataifa waliokuwa busy na lockdown, corona imekimbia? Waliokuwa busy na kutangaza vifo na orodha, corona imekimbia? Waliokuwa, wamefanikiwa kitu gani mpaka tuone tuliomtanguliza Mungu tumekosea! ETI HATUMWONI RAIS, MMEKWENDA OFISINI KWAKE MKAMKOSA?

MLIKIWA NA APPOINTMENT NAYE MKAMKOSA?

1615797748404.png
 
Huyu Sky Eclat naona sasa anaanza kutafuta kiki ya kurudia baada ya hoja ya India na Nairobi kugonga mwamba. Hii mbinu, wataalam wa saikolojia wanaiita ^maksima kappa^ -- ^I'm very sorry!^ Nachoweza kusema tu kwako: tuko pamoja!!! 🙂 🙂 🙂
 
UNPATRIOTIC! Mng'ang'ana hawajatangaza Corona ipo, Kwani Corona ni kama mwewe au mwizi unaweza kuifukuza kwa mayowe!? Eti hawajatoa takwimu, Hivi tukifanya sensa kila asubuhi nani anaumwa na kutaja kama mafungulio ya wafungwa ndio wanapona?

Tukitaja waliopoteza Maisha hata wa magonjwa mengine tuseme ni corona ili idadi iwe kubwa ndio corona itatuonea huruma iondoke? Tukiwatisha sana watu wakawa na hofu sana ndio corona itakimbia?

Mataifa waliokuwa busy na lockdown, corona imekimbia? Waliokuwa busy na kutangaza vifo na orodha, corona imekimbia? Waliokuwa, wamefanikiwa kitu gani mpaka tuone tuliomtanguliza Mungu tumekosea! ETI HATUMWONI RAIS, MMEKWENDA OFISINI KWAKE MKAMKOSA?

MLIKIWA NA APPOINTMENT NAYE MKAMKOSA?

View attachment 1726235
LAMECK MADELU.
 
Back
Top Bottom