[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Corrupted minds.
Yaani tunakoelekea hata kutembeleana itakuwa mwiko,,,sijui watoto watakuwa mazingira gani....hakuna kutembelea tu ndugu,, wataonana siku ya Msiba tu hehehhe...
tunakiandaa Kizazi cha hovyo sana
Hajiulizi kwa nini watu walikuwa akija mgeni ndio kuku anachinjwa au ndio wakati wa kula zinatumika sahani za udongo badala ya za plastiki na bati...Tulifunzwa kumkirimu mgeni hata mandiko yanasema hivyo...Endelea kutoa elimu kuna watu kwa maneno yako wana gain kitu...Inaonesha ni mkongweHayo ndio maisha tuliyolelewa sisi.
Mgeni akija anakaa siku moja unampisha wewe utalala hata ukumbini lakini mgeni astarehe vizuri.
Nyie wageni wakija ndio mnawatesa,malezi ya ajabu haya
Ushoga kwan wanaanzisha hao wageni na ndugu pekee? Tatizo lipo ila namna ya utatuaji haikuwa sawa.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Mjomba haji Tena... Hata kama ana mishe zake hatokuja hapoMREJESHO
Kabla ya kupiga msos niliamua kumueleza wife kuwa "uncle" naenda kumlaza lodge na siwez kumuweka rehani cute girl wangu. Wife alikubali kwa shingo upande.
Fasta nikawacheki wadau wa boda waniangalizie chumba logde za uswazi.
Wakati wa kupiga msosi nikaamua kumchana "uncle" jinsi Dunia ilipofikia na maamuz yangu kwa wakat huo. Jamaa kwanza hakuamin kama nampeleka nje kulala kwa kuwa alijua tayar kafika.
Kiufupi, kalala logde ya kawaida sana (Bei kapuni) tofauti na kitambi kinavyomuonesha.
Nashukuru sana kwa msaada wa mawazo yenu. Linda familia yako bila kujali lawama zotakazo tokea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mpeleke hospitali akalale kwenye mabenchi
Kwamba mara ya kwanza ulimwacha alale naye!!!!!!