Mawazo yanahitajika kuhusu Uncle kulala na mtoto chumba kimoja

Mawazo yanahitajika kuhusu Uncle kulala na mtoto chumba kimoja

Umekosea kumwambia Dunia imebadilika Kama sehemu ya kumshutumu na kutomuamini.

Hapakuwa n haja ya kumueleza mambo hayo.

Mosi,
Ungemwambia tuu Nyumba yenu ni ndogo, na hutajisikia vizuri yeye kulala Sebuleni, hivyo unashauri muende mkatafute Lodge ya kulala ili awe Comfortable kuliko kulala pale sebuleni.

Pili,
Kama alikuja Kwa kushtukiza, ungemfuatilia mapema kabla ya saa mbili usiku kujua Kama atalala hapohapo au Ratiba yake imekaaje, kisha Kama Ratiba yake alipanga kulala hapohapo basi ndio ungemueleza Hali halisi ya Nyumba yako.

Tatu,
Kama anaukariby Mkubwa na wewe ya Mkeo mbali na undugu.
Basi ungemchukua mtoto mkalala naye kisha Mgeni akatumia chumba cha mtoto.


Hata hivyo ni lazima kesho yake umuweke wazi kuwa ulimpokea Kwa heshima yake tuu lakini hupokei wageni wanaokuja Kwa kushtukiza.
Hiyo ingemuambia kuwa hatakiwi na pia ingemfanya siku nyingine akija atoe taarifa.
Pia Kwa jitihada ulizofanya za kumlaza hapo au kumlaza Guest angeona umemuheshimu.

Pia ungejifanya unaulizia pesa ya Guest Kwa mke wako kama ipo, ili kumfanya ashtuke kuwa amekuja kuvuruga Bajeti za watu.
Hii pia iko vizuri.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Laleni na mtoto wenu..ndugu wa sikuhizi nyoka
 
Mtoto wa miaka mitano unashindwa kulala nae chumbani kwako na mkeo?! Mbona anaweza kulala na ninyi wakati mgeni kaja??

Angekuwa mgeni wa kike unaweza waacha walale ila ni wa kiume analalaje na mtoto. Aiseeee nyie wazazi wa kizazi hiki mnachangamoto sana.
 
MREJESHO

Kabla ya kupiga msos niliamua kumueleza wife kuwa "uncle" naenda kumlaza lodge na siwez kumuweka rehani cute girl wangu. Wife alikubali kwa shingo upande.

Fasta nikawacheki wadau wa boda waniangalizie chumba logde za uswazi.

Wakati wa kupiga msosi nikaamua kumchana "uncle" jinsi Dunia ilipofikia na maamuz yangu kwa wakat huo. Jamaa kwanza hakuamin kama nampeleka nje kulala kwa kuwa alijua tayar kafika.

Kiufupi, kalala logde ya kawaida sana (Bei kapuni) tofauti na kitambi kinavyomuonesha.

Nashukuru sana kwa msaada wa mawazo yenu. Linda familia yako bila kujali lawama zotakazo tokea
Hakukua hata na haja ya kumpeleka lodge. Angelala chumbani kwa mtoto ninyi mngelala na mtoto bila shida hata kama angekaa mwaka mzima. Mtoto ni mdogo sana huyo kulala pekee yake. Mtoto labda akivuka miaka 7 hapo sawa. Ila umri huo analala fresh tu na wazazi.
 
Nasimama na wee hapa, hakikaa una busara sana, ubarikiwe.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kwa sote mkuu,nimeumia sana na maamuzi ya mtoa mada,watanzania wengi hatujui namna bora za kusolve ishu za kijamii,tunachojua sisi ni kusolve tu kwa njia yoyote,hili ni tatizo kubwa.

Jua roho ya mtu katika hali mbili.

1.akifanikiwa(akipata maisha mazuri)
2.akijiwa na mgeni.
 
Huyo mtoto alikua konki yeye ndo alishawishi kuingiliwa na huyo ndugu yake. Sasa hadi anakufanyia yote hayo si alishakua mzoefu lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Sio rahisi kua yeye ndie alieanza kumshawishi huyo ndugu yake, maana kipindi hicho anadai yeye alikua darasa la tano halafu huyo ndugu yake yupo form 1.
Halafu kingine wazazi wanakosea sana kuwalea watoto wa kiume kimayai mayai.
 
Sio rahisi kua yeye ndie alieanza kumshawishi huyo ndugu yake, maana kipindi hicho anadai yeye alikua darasa la tano halafu huyo ndugu yake yupo form 1.
Halafu kingine wazazi wanakosea sana kuwalea watoto wa kiume kimayai mayai.
Sasa unakataa nn? Iv mtoto sio mzoefu angeweza kukufanya wee km mumeo hapo shule? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], kwa maelezo yako huyo mtoto tangu akiwa mdogo alikua na internet za gaysm, ila hakupata partner,. Ndo alivokuja huyo ndugu yake akaamua amshawishi.

Drs la 5 hoja? Mtu yko drs la 3 analazimisha binamu yake wa 4m 4 amuingilie, na hapo hawalali room 1, bila akili ya yule binamu tayar dogo angeliwa drs la 3 tyuuh, huyo dogo alikua na interest za ushoga tang mdogo kabisaa ila binamu yake ndo alitokea kumuelewa, sasa unadhan nn hapa? Kuna mengi sana ktk gaysm tatzo huwa hamtaki kufuatilia khaaaah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Kwa sote mkuu,nimeumia sana na maamuzi ya mtoa mada,watanzania wengi hatujui namna bora za kusolve ishu za kijamii,tunachojua sisi ni kusolve tu kwa njia yoyote,hili ni tatizo kubwa.

Jua roho ya mtu katika hali mbili.

1.akifanikiwa(akipata maisha mazuri)
2.akijiwa na mgeni.
Haswaaaaah yaan.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Wanaadamu mnakosea sana ku approach ishu kama hizi,hamuna diplomacy katika kusolve ishu zenu.

Kumbuka kutumia diplomacy kusolve matatizo kunawafanya muendelee kuwa wamoja,unaposhindwa kutumia diplomacy katika ishu kama hizo watu wanatone roho mbaya kwako na kuna siku itakutokea puani.

Kwanza kumlaza mgeni nje ya nyumba ni tabia mbovu sana na ni utovu wa adabu ni sawa mgeni aje alafu wewe ukamuombee chakula kwa jirani huku akiona.

Ustaarabu ni mgeni kumuachia nyumba alale nyie mtajua mnalala wapi,silazimishi kukubali ustaarabu huu.

Nakumbuka kuna mwaka nilienda kwa ndugu zangu pale mbagala wana chumba na ukumbi,walichofanya waliniachia chumba nikalala wao sijui walilala wapi asubuhi mapema nimewakuta wanaendelea na mambo mengine mimi nikaamsha nililala siku moja tu,hii ndio ustaarabu.

Nyie binadamu wengine sijui mumekulia wapi,mna roho za ajabu sana aisee.

Sijui ulishindwa nini kulala na mtoto wenu kisha mgeni akalala peke yake,sio ustaarabu huu.

Na namna ulivyokuwa na roho mbaya ukamuambia kabisa ati dunia imejaribika,maana yake umemuonesha kwamba humuamini.

Na sio k2amba humuamini kulala na binti yake tu bali hata kulala hapo nyumbani bila binti asilale ukaenda kumtupa huko gesti,angezidiwa usiku ?,angekabwa ?

Sio ustaarabu mkuu,ningekuwa mimi ndio anko hiyo lodge nalipa mimi mwenyewe maana umefanya ubwege sana.

Siku zote tumia diplomacy kusolve matatizo utaishi vizuri na jamii hata ndugu zako pia.
Ndugu nadhani binafsi nimekuelewa sana...umegusa pande zote na uzuri umegusia option mbalimbali ya ku solve changamoto. kama kuna mpingaji sidhani kama atakuwa na hoja kinzani yenye mashiko...Endelea kuelimisha...Mwenye masikio na asikie na mwenye macho aone.
 
Wa mjini hawa utawaweza? Mambo hayo kijijini

Corrupted minds.

Yaani tunakoelekea hata kutembeleana itakuwa mwiko,,,sijui watoto watakuwa mazingira gani....hakuna kutembelea tu ndugu,, wataonana siku ya Msiba tu hehehhe...

tunakiandaa Kizazi cha hovyo sana
 
Back
Top Bottom