Mawazo yanahitajika kuhusu Uncle kulala na mtoto chumba kimoja

Mawazo yanahitajika kuhusu Uncle kulala na mtoto chumba kimoja

Habari ya leo.

Miezi kama 3 iliyopita alinitembelea shemeji yangu wa kiume (miaka zaidi ya 30) na alilala chumba cha watoto. Ikumbuke Nina Binti/mtoto wa kike miaka 5, wakati huo niliongea na mama watoto kuwa next time sitaki kuweka utu wa mtoto wangu rehani kwa watu wanaojiita "uncle"

Leo tena "uncle" kaja kwa mishe zake lakn bila ya kutoa taarifa, ninvyoona jamaa atalala hapa nyumbani. Sina chumba Cha wageni zaidi ya familia yangu tu

WANDUGU:

Nafikiria kumtafutia lodge akalale kuliko kulala na Binti yangu chumba kimoja maana Dunia imewekwa rehani. Nipo sahihi au inakuwaje?
Ukija Kuta amelawitiwa ndio utakuwa na akili.
Walaze wanao chumbani kwako kama unaona unamhurumia Sana huyo shemeji yako.
Vinginevyo kamlipie gesti alale huko.
Aje kula nyumbani.
Atajiongeza
 
Ova my dead body!mwanangu awe wa kike au wa kiume kulalala na mtu wa jinsia me ni big no. ni hatari is your mithilika ,huyo alale sebuleni ,huko lodge utalipa mpaka lini? kama anakaa wiki tatu itakuwaje?
Hata ke.
Wasagaji wako wengi Sana mitaaani.
 
Habari ya leo.

Miezi kama 3 iliyopita alinitembelea shemeji yangu wa kiume (miaka zaidi ya 30) na alilala chumba cha watoto. Ikumbuke Nina Binti/mtoto wa kike miaka 5, wakati huo niliongea na mama watoto kuwa next time sitaki kuweka utu wa mtoto wangu rehani kwa watu wanaojiita "uncle"

Leo tena "uncle" kaja kwa mishe zake lakn bila ya kutoa taarifa, ninvyoona jamaa atalala hapa nyumbani. Sina chumba Cha wageni zaidi ya familia yangu tu

WANDUGU:

Nafikiria kumtafutia lodge akalale kuliko kulala na Binti yangu chumba kimoja maana Dunia imewekwa rehani. Nipo sahihi au inakuwaje?
Ivi watu tuna tofautiana kumbe!! Mimi nikisafiri nikienda mahali huwa najipanga kabisa maswala ya kulala mpaka chakula hatakama nina ndugu eneo hilo

Back to the point huyo anko inawezekana hajielewi anawezaje kulala na watoto ivi kwanza Ana anzaje? Na nyie kama familia mnaliangalia tu upo serious kweli

Hilo swala halina mjadala akatafte sehemu ya kulala kwanza naona ume mheshimu sana mpaka unamtaftia Lodge ingekuwa mimi ningemchana live

Nakuunga mkono 100% asilale na watoto sahvi mambo yamebadilika sana ... usipende kumwamini mtu yeyote nawasilisha
 
Nmekumbuka juzi kati nilisafiri pemben yangu alikuwepo binti mdogo tu miaka haizid 10 simfaham nilimkuta tu kwenye bus

Tumeenda kufika njian akapakiwa abiria mmoja then bus ilikua imejaa akaja straight kwangu akasalimia mara akaniambia kwamba naomba nikae hapo kwa binti nimpakate

Nikamjibu tu huyu amelipia hii seat so ni haki yake kukaa hapa we endlea kusimama, Naona akasema oooh ntampakata tu nikamwangalia then nikamjibu huoni pia huyu ni mtoto wa kike ujasiri wa kumpakata mtoto usiemjua unautoa wap, nikawa serious sasa.

So hii Dunia ya sasa tusipowalinda hawa madogo kuna wapuuzi wengi sana wanaweza kuwaharibu
 
Habari ya leo.

Miezi kama 3 iliyopita alinitembelea shemeji yangu wa kiume (miaka zaidi ya 30) na alilala chumba cha watoto. Ikumbuke Nina Binti/mtoto wa kike miaka 5, wakati huo niliongea na mama watoto kuwa next time sitaki kuweka utu wa mtoto wangu rehani kwa watu wanaojiita "uncle"

Leo tena "uncle" kaja kwa mishe zake lakn bila ya kutoa taarifa, ninvyoona jamaa atalala hapa nyumbani. Sina chumba Cha wageni zaidi ya familia yangu tu

WANDUGU:

Nafikiria kumtafutia lodge akalale kuliko kulala na Binti yangu chumba kimoja maana Dunia imewekwa rehani. Nipo sahihi au inakuwaje?
Kamtafutie mkuu siku nyingine Kama anaakili atajiongeza
 
zabron k siku nyingine uwe unatumia akili kabisa usiwe hopeless. Yani first time mjomba alilala chumba cha mtoto nawe baba upo unachekelea? Usirudie uzembe wa kipuuzi namna hiyo, huwa mnakuja jutia baadaee na kulaumiwa na watoto.

1. Kwanini hukumtimua. Anakuja bila taarifa kwako ni kituo cha polisi?
2. Kwanini hukumchukua mtoto mkalala naye chumba kimoja. Unajifanya we na mkeo mna nyege sana mpaka mnaweka rehani usalama wa mtoto.
3. Kwanini hakukala nyumba za wageni siku ya kwanza.

Yani nimekasirika. Kulea mtoto ni pamoja na kumlinda, sio tu kumlisha michembe na maparachichi
Hoja zako zinaonesha jinsi gani upeo wako wa akili ulivyo, kubishana na mtu kama wewe ni kupoteza mda
 
Yani hatua za kulinda mtoto wangu unambie nina roho mbaya?
Siwezi kuwa na chumba kimoja cha mwanangu mdogo vile mtu akaleta matako yake nikamruhusu alale nae humo. Huo upumbavu sifanyi, kama wewe unaweza kuwa na roho nzuri beba hata wavuta bangi walalahoi wa mjini walaze chumba cha mwanao. Dunia imeharibika wewe endelea kuishi maisha ya babu zako badala ya uhalisia wa sasa.

Nikuulize. Kwahiyo unaweza enda kwa ndugu yako akakulaza chumba na mtoto mdogo wa kike ukakubali, ukarudi tena siku nyingine?
Nataman nione picha yako na maisha yako, nahisi kuna kitu hakiko sawa kwako
 
Nmekumbuka juzi kati nilisafiri pemben yangu alikuwepo binti mdogo tu miaka haizid 10 simfaham nilimkuta tu kwenye bus

Tumeenda kufika njian akapakiwa abiria mmoja then bus ilikua imejaa akaja straight kwangu akasalimia mara akaniambia kwamba naomba nikae hapo kwa binti nimpakate

Nikamjibu tu huyu amelipia hii seat so ni haki yake kukaa hapa we endlea kusimama, Naona akasema oooh ntampakata tu nikamwangalia then nikamjibu huoni pia huyu ni mtoto wa kike ujasiri wa kumpakata mtoto usiemjua unautoa wap, nikawa serious sasa.

So hii Dunia ya sasa tusipowalinda hawa madogo kuna wapuuzi wengi sana wanaweza kuwaharibu
Ulifanya jambo la maana, kwasababu hakukua na option nyingine, na wazazi wake waliona bora wamiatie siti

Tatizo wabongo wengi wanaishi kwa hisia na sio uhalisia
 
Nina wasiwasi na uelewa wako. Wazazi kuwa na hela na kulinda watoto wao dhidi ya possible threats kunawafanya watoto wawe chokoraa wazazi wakifa?

Utasubiri mpaka miguu iingie tumboni. Hakuna mtoto wa tajiri atakuwa chokoraa kisa umetimuliwa nyumbani kwao. Kwanza hao watoto unaosema watu wenye akili kama zako ndio mnaiba na kuharibu mali za wazazi wao. Labda nisijue kama wageni siku hizi wanakuja na kinga dhidi ya uchokoraa kwa watoto
Huna jipya ww zaidi ya uchoyo na roho mbaya

Mnaiga iga tu hata ambavyo havifai. Toka lini waafrika tukaulizana kutembeleana
 
Yani hatua za kulinda mtoto wangu unambie nina roho mbaya?
Siwezi kuwa na chumba kimoja cha mwanangu mdogo vile mtu akaleta matako yake nikamruhusu alale nae humo. Huo upumbavu sifanyi, kama wewe unaweza kuwa na roho nzuri beba hata wavuta bangi walalahoi wa mjini walaze chumba cha mwanao. Dunia imeharibika wewe endelea kuishi maisha ya babu zako badala ya uhalisia wa sasa.

Nikuulize. Kwahiyo unaweza enda kwa ndugu yako akakulaza chumba na mtoto mdogo wa kike ukakubali, ukarudi tena siku nyingine?
Huelewi nini au na ww ni wale mliotawaliwa na ubinafsi na kuona mna mali so hakuna wa kukubabaisha.

Suala si kulala na mtoto, ww mbaba unaanzaje kulala na mtoto wa kike!! Ishu ni kumuachia mgeni chumba ajihifadhi kwa hiyo siku. Kwani unapungukiwa na nini.

Haya ww unaishi mjini, sawa. Kuna lodge kila kona. Umewahi kujiuliza kwa wanaoishi vijijini?. Ina maana ww wa mjini huwezi kwenda kijijini iwe ni kwa mambo flani flani au hata kuwasalimia. Je kama nyumba utayoikuta haitoshelezi ugeni wako ina maana wakufukuze maana huko hakuna lodge.

Nyie binadamu mnaojifanya mmestaarabika acheni ubinafsi
 
Nataman nione picha yako na maisha yako, nahisi kuna kitu hakiko sawa kwako
Kutamani kuona picha ya mwanaume mwenzio ni kuzidi kuonyesha matatizo ya akili. Kutoka kulaza mtoto wako wa miaka mitano na mwanaume, sasa unaelekea kutaka kuona picha ya mwanaume mwenzio. Hizo familia mnawezaje kuziendesha na akili za hivi?
 
Huelewi nini au na ww ni wale mliotawaliwa na ubinafsi na kuona mna mali so hakuna wa kukubabaisha.

Suala si kulala na mtoto, ww mbaba unaanzaje kulala na mtoto wa kike!! Ishu ni kumuachia mgeni chumba ajihifadhi kwa hiyo siku. Kwani unapungukiwa na nini.

Haya ww unaishi mjini, sawa. Kuna lodge kila kona. Umewahi kujiuliza kwa wanaoishi vijijini?. Ina maana ww wa mjini huwezi kwenda kijijini iwe ni kwa mambo flani flani au hata kuwasalimia. Je kama nyumba utayoikuta haitoshelezi ugeni wako ina maana wakufukuze maana huko hakuna lodge.

Nyie binadamu mnaojifanya mmestaarabika acheni ubinafsi
Nimekupa options tatu
1. Mgeni atoke akalale anakojua yeye
2. Mtoto abebwe akalale na wazazi wake mgeni aachwe
3. Mgeni agharamiwe gharama za kulala lodge

Kinachokuliza nini?
 
Habari ya leo.

Miezi kama 3 iliyopita alinitembelea shemeji yangu wa kiume (miaka zaidi ya 30) na alilala chumba cha watoto. Ikumbuke Nina Binti/mtoto wa kike miaka 5, wakati huo niliongea na mama watoto kuwa next time sitaki kuweka utu wa mtoto wangu rehani kwa watu wanaojiita "uncle"

Leo tena "uncle" kaja kwa mishe zake lakn bila ya kutoa taarifa, ninvyoona jamaa atalala hapa nyumbani. Sina chumba Cha wageni zaidi ya familia yangu tu

WANDUGU:

Nafikiria kumtafutia lodge akalale kuliko kulala na Binti yangu chumba kimoja maana Dunia imewekwa rehani. Nipo sahihi au inakuwaje?
Takwimu hazidanganyi! Takwimu zinadai kuwa watoto wengi HUDHALILISHWA KINGONO (sex abuse) na watu walio karibu nao/ndugu/jamaa. Kuwa makini!
 
Sqala si kufaidi wala kuondoka na nyumba


Na haina uhusiano na roho mbaya



Acha kulala kwa familia yenye chumba na sebule!!!!!


Yaani mtu mzima na mvi zako....

Unatoa miguu yako...

Unaenda kulala kwa ndugu ambaye ana chumba na sebule...

Comfortable.....

Na usingizi unapata!!!!!!


Unahitaji kukombolewa!
Watu wenye roho mbaya wanaona mgeni akilala kwao atafaidi na kudhani kama ataondoka na nyumba.
 
Kwani dunia haijabadilika??????


Tatizo watanzania hampendi kuambiwa ukweli
Kumwambia mgeni Dunia imebadilika amefeli sana,,,, hakuna Busara ya namna hio.. unamfanya mgeni ni mtuhumiwa tayari.
Ujue dunia ya sasa imekuwa ngumu sana,, Zamani watu walikuwa wanafurahia wageni lakini leo ugeni imekuwa kero kwa wengi...

Option ya kulala sebuleni ilikuwa the best na familia zetu wengi, watoto tumeshawai kulala sebuleni ili wageni walale vyumbani.. (ni kawaida sana kwa jamii yetu).

Kizazi cha sasa hata ukienda kwa mtu ghafla utaonekana unamaliza Ugali hehehehehe.. Sijui ni kizazi cha hovyo au ndio wakati umetaka mabo yaende hvyo.

Niishie hapo...
 
Back
Top Bottom