Bubolwa Chura
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 300
- 560
Ila we jamaa kuna siku familia itakushinda. Kitu kidogo hivi unaongea kwa hofu?
Au huna sauti kwa mkeo, au mkeo ndio analipa bills za familia, kiufupi nakuona hujiamini kabisa.
Swala kama hilo wala jalikuwa na mjadala maana huna pa kimlaza.
Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
Au huna sauti kwa mkeo, au mkeo ndio analipa bills za familia, kiufupi nakuona hujiamini kabisa.
Swala kama hilo wala jalikuwa na mjadala maana huna pa kimlaza.
Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app