Mawazo yanahitajika kuhusu Uncle kulala na mtoto chumba kimoja

Mawazo yanahitajika kuhusu Uncle kulala na mtoto chumba kimoja

Wanaadamu mnakosea sana ku approach ishu kama hizi,hamuna diplomacy katika kusolve ishu zenu.

Kumbuka kutumia diplomacy kusolve matatizo kunawafanya muendelee kuwa wamoja,unaposhindwa kutumia diplomacy katika ishu kama hizo watu wanatone roho mbaya kwako na kuna siku itakutokea puani.

Kwanza kumlaza mgeni nje ya nyumba ni tabia mbovu sana na ni utovu wa adabu ni sawa mgeni aje alafu wewe ukamuombee chakula kwa jirani huku akiona.

Ustaarabu ni mgeni kumuachia nyumba alale nyie mtajua mnalala wapi,silazimishi kukubali ustaarabu huu.

Nakumbuka kuna mwaka nilienda kwa ndugu zangu pale mbagala wana chumba na ukumbi,walichofanya waliniachia chumba nikalala wao sijui walilala wapi asubuhi mapema nimewakuta wanaendelea na mambo mengine mimi nikaamsha nililala siku moja tu,hii ndio ustaarabu.

Nyie binadamu wengine sijui mumekulia wapi,mna roho za ajabu sana aisee.

Sijui ulishindwa nini kulala na mtoto wenu kisha mgeni akalala peke yake,sio ustaarabu huu.

Na namna ulivyokuwa na roho mbaya ukamuambia kabisa ati dunia imejaribika,maana yake umemuonesha kwamba humuamini.

Na sio k2amba humuamini kulala na binti yake tu bali hata kulala hapo nyumbani bila binti asilale ukaenda kumtupa huko gesti,angezidiwa usiku ?,angekabwa ?

Sio ustaarabu mkuu,ningekuwa mimi ndio anko hiyo lodge nalipa mimi mwenyewe maana umefanya ubwege sana.

Siku zote tumia diplomacy kusolve matatizo utaishi vizuri na jamii hata ndugu zako pia.
Ligazeti lote hili kumbe unamtetea mvamia nyumba za watu kama wewe [emoji23]

Ulivyokosa haya mtu mzima wewe unajisifia kabisa ulienda kwa Watu wana chumba na Ukumbi wakakupisha hukujua walienda kulala wapi, unajua jinsi gani walisononeka kuacha kitanda chao na kwenda kulala pasipojulikana???

Kama wewe muungwana mbona hukuwaambia ulale hapo ukumbini au mbona hukulipia lodge???

Mitabia yako ya kishenzi unaileta hadi kwa familia za watu eti diplomasia, diplomasia ni kwenda kuwabana watu katika nyumba zao???

Yaani imekuuma huyo Mvamizi mwenzio kulazwa Lodge kuliko kufikiria Usalama wa Mtoto wa miaka mitano!!,

Mjirekebishe, Dunia imebadilika kama una mishe zako tafuta lodge kabisa, huko kwa ndugu waenda kusalimia tu na kuondoka, mishe zako zisiwape wengine heka heka za nafsi.
 
Ulivyokosa haya mtu mzima wewe unajisifia kabisa ulienda kwa Watu wana chumba na Ukumbi wakakupisha hukujua walienda kulala wapi, unajua jinsi gani walisononeka kuacha kitanda chao na kwenda kulala pasipojulikana??
Watasononeka watu kama nyie mliolelewa kwwnye roho mbaya bila shaka.kulala siku moja kwa mtu aliyestaarabika sio ishu.
Kama wewe muungwana mbona hukuwaambia ulale hapo ukumbini au mbona hukulipia lodge???
Wao ndio walianza kuonesha uungwana kwangu.
Mitabia yako ya kishenzi unaileta hadi kwa familia za watu eti diplomasia, diplomasia ni kwenda kuwabana watu katika nyumba zao???
Ni roho mbaya tu hakuna nyumba wala nini,sisi tuliokulia kwenye familia zenye upendo tunajua thamani ya mgeni
Mjirekebishe, Dunia imebadilika kama una mishe zako tafuta lodge kabisa,
Huu upuuzi sifanyi,nitafikia kwa ndugu wenye upendo na nitaachiwa chumba nilale peke yangu,huu ndio ustaarabu.

Kwanza huweI kumlaza mgeni na mtoto mdogo awe wa kike au kiume,mtu mzima atalala na mtu mzima mwenzakw wa jinsia moja.
huko kwa ndugu waenda kusalimia tu na kuondoka
Ningekuwa na ndugu mwenye roho ngumu kama wewe ndio ningekuwa naenda kusalimia na kuondoka,pengine hata kuja kwako nisingekuja maana usingenipa hata huo ugali ungelionna nimekumalizia bajeti.
mishe zako zisiwape wengine heka heka za nafsi.
Nyie nndio mnamnyima mgeni chakula kwa kisingizio hakutoa taarifa,mnadhani kama taarifa yake inakuja na chakula.
 
Habari ya leo.

Miezi kama 3 iliyopita alinitembelea shemeji yangu wa kiume (miaka zaidi ya 30) na alilala chumba cha watoto. Ikumbuke Nina Binti/mtoto wa kike miaka 5, wakati huo niliongea na mama watoto kuwa next time sitaki kuweka utu wa mtoto wangu rehani kwa watu wanaojiita "uncle"

Leo tena "uncle" kaja kwa mishe zake lakn bila ya kutoa taarifa, ninvyoona jamaa atalala hapa nyumbani. Sina chumba Cha wageni zaidi ya familia yangu tu

WANDUGU:

Nafikiria kumtafutia lodge akalale kuliko kulala na Binti yangu chumba kimoja maana Dunia imewekwa rehani. Nipo sahihi au inakuwaje?
Yaani mimi hata kumlaza na mwanangu wa kiume naogopa sembuse huyo wa kike!!! Akalale Lodge tu huyo mgeni. Dunia imeharibika mno.
 
Habari ya leo.

Miezi kama 3 iliyopita alinitembelea shemeji yangu wa kiume (miaka zaidi ya 30) na alilala chumba cha watoto. Ikumbuke Nina Binti/mtoto wa kike miaka 5, wakati huo niliongea na mama watoto kuwa next time sitaki kuweka utu wa mtoto wangu rehani kwa watu wanaojiita "uncle"

Leo tena "uncle" kaja kwa mishe zake lakn bila ya kutoa taarifa, ninvyoona jamaa atalala hapa nyumbani. Sina chumba Cha wageni zaidi ya familia yangu tu

WANDUGU:

Nafikiria kumtafutia lodge akalale kuliko kulala na Binti yangu chumba kimoja maana Dunia imewekwa rehani. Nipo sahihi au inakuwaje?
Mpeleke Lodge af alipe mwenyew, mtu unaendaje kwa mtu mwingine bila taarifa mbaya zaid kulala[emoji850]

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Sheria katika vitabu vyote duniani hairuhusu
 
Kwani hamna sebule alale ili next time ajiongeze? Ila kuna watu ni wazito kweli wa kufikiri.
 
Habari ya leo.

Miezi kama 3 iliyopita alinitembelea shemeji yangu wa kiume (miaka zaidi ya 30) na alilala chumba cha watoto. Ikumbuke Nina Binti/mtoto wa kike miaka 5, wakati huo niliongea na mama watoto kuwa next time sitaki kuweka utu wa mtoto wangu rehani kwa watu wanaojiita "uncle"

Leo tena "uncle" kaja kwa mishe zake lakn bila ya kutoa taarifa, ninvyoona jamaa atalala hapa nyumbani. Sina chumba Cha wageni zaidi ya familia yangu tu

WANDUGU:

Nafikiria kumtafutia lodge akalale kuliko kulala na Binti yangu chumba kimoja maana Dunia imewekwa rehani. Nipo sahihi au inakuwaje?
Uko sahihi sana,ila dah kumbe tuko wengi,mtoto kike anauma aisee,yani we acha tu...
 
Umetembelea mtu ana chumba na sebule

Umelala chumbani comfortable na usingizi umepata.....


Hujui hata wenye nyumba wamelala wapi?

Una shida wewe!!
Wanaadamu mnakosea sana ku approach ishu kama hizi,hamuna diplomacy katika kusolve ishu zenu.

Kumbuka kutumia diplomacy kusolve matatizo kunawafanya muendelee kuwa wamoja,unaposhindwa kutumia diplomacy katika ishu kama hizo watu wanatone roho mbaya kwako na kuna siku itakutokea puani.

Kwanza kumlaza mgeni nje ya nyumba ni tabia mbovu sana na ni utovu wa adabu ni sawa mgeni aje alafu wewe ukamuombee chakula kwa jirani huku akiona.

Ustaarabu ni mgeni kumuachia nyumba alale nyie mtajua mnalala wapi,silazimishi kukubali ustaarabu huu.

Nakumbuka kuna mwaka nilienda kwa ndugu zangu pale mbagala wana chumba na ukumbi,walichofanya waliniachia chumba nikalala wao sijui walilala wapi asubuhi mapema nimewakuta wanaendelea na mambo mengine mimi nikaamsha nililala siku moja tu,hii ndio ustaarabu.

Nyie binadamu wengine sijui mumekulia wapi,mna roho za ajabu sana aisee.

Sijui ulishindwa nini kulala na mtoto wenu kisha mgeni akalala peke yake,sio ustaarabu huu.

Na namna ulivyokuwa na roho mbaya ukamuambia kabisa ati dunia imejaribika,maana yake umemuonesha kwamba humuamini.

Na sio k2amba humuamini kulala na binti yake tu bali hata kulala hapo nyumbani bila binti asilale ukaenda kumtupa huko gesti,angezidiwa usiku ?,angekabwa ?

Sio ustaarabu mkuu,ningekuwa mimi ndio anko hiyo lodge nalipa mimi mwenyewe maana umefanya ubwege sana.

Siku zote tumia diplomacy kusolve matatizo utaishi vizuri na jamii hata ndugu zako pia.
 
Umetembelea mtu ana chumba na sebule

Umelala chumbani comfortable na usingizi umepata.....


Hujui hata wenye nyumba wamelala wapi?

Una shida wewe!!
Hayo ndio maisha tuliyolelewa sisi.

Mgeni akija anakaa siku moja unampisha wewe utalala hata ukumbini lakini mgeni astarehe vizuri.

Nyie wageni wakija ndio mnawatesa,malezi ya ajabu haya
 
Ajabu ni mtu mzima unapotoa miguu yako kwa mtu mwenye chumba na sebule........

Miaka hii


Hayo ndio maisha tuliyolelewa sisi.

Mgeni akija anakaa siku moja unampisha wewe utalala hata ukumbini lakini mgeni astarehe vizuri.

Nyie wageni wakija ndio mnawatesa,malezi ya ajabu haya
 
Ajabu ni mtu mzima unapotoa miguu yako kwa mtu mwenye chumba na sebule........

Miaka hii
Watu wenye roho mbaya wanaona mgeni akilala kwao atafaidi na kudhani kama ataondoka na nyumba.
 
Mkuu ungemlaza sebuleni tu...either Mtoto alale sebuleni au Mgeni alale sebuleni...

Anko wa siku hizi wamekuwa wa hovyo sana,,, Niishie hapo
 
Mkuu ungemlaza sebuleni tu...either Mtoto alale sebuleni au Mgeni alale sebuleni...
Hii ni option nzuri sana.

Au yeye angelala na mgeni alafu binyi akalale na mama yake.

Au mtoto angelala sebuleni.

Kwa kufanya hivyo huyo anko angeona tabu kwamba hapa sehemu za kulala hamna mpaka wenye nyumba wanalala sebuleni,angejiongeza na kuondoka ila angetoka na dhana kwamba wenye nyumba ni wastaarabu.

Kinyume na alivyofanya yeye kumchana mgeni eti dunia imechange,dah kazingua ssna.

Ila sishangai kuna baadhi ya wstu hawajui thamani ya mgeni
 
Back
Top Bottom