Mawazo yanahitajika kuhusu Uncle kulala na mtoto chumba kimoja

Mawazo yanahitajika kuhusu Uncle kulala na mtoto chumba kimoja

We diplomasia unaijua?
Ndio kama nilivyoeleza.
Imekusaidia kwenye nini?
Acha mipasho japokuwa sijui jinsia yako.
Hiyo ni diplomasia au ni uoga mbele ya macho ya watu watakuonaje?
Hiyo ni diplomasia ndugu yangu,achana na mawazo potofu kwamba ni uoga.

Hivi unahisi unafanya sahihi kumpangia mtu utaratibu wa kuishi kwenye nyumba yake?
Hapa hakuna aliyempangia mtu bali huu ni ushauri tunaoutoa baada ya yeye kuomba ushauri hapa jamvini.

Au alitaka ushauri upi hapa ?
maadili ya mtoto yapo kwenye mikono ya wazazi,
Nani anabisha sasa ?
unajua hakuna kitu kibaya kama mtoto tena wa miaka mitano alale na wazazi,
Je akilala na mama yake pia vibaya ?
hivi unajua kwasisi wanaume asubuhi ukiamka ni lazima mashine huwa inasimama
Sio lazima kwa wote,pengine mtoa mada yake haiwi hivyo asubuhi ?
nyie watu sijui mpoje kulaumu pasipo kuwa na maamuzi ya busara
Maamuzi ya kipuuzi yatabaki ya kipuuzi ndugu yangu,huwezi kumlaza mgeni guest ukawa umefanya uamuzi sahihi.
Kuna option nyingi sana za kufanya kuliko huo ukosaji wa uungwana alioonesha mtoa mada
 
Ndio kama nilivyoeleza.

Acha mipasho japokuwa sijui jinsia yako.

Hiyo ni diplomasia ndugu yangu,achana na mawazo potofu kwamba ni uoga.


Hapa hakuna aliyempangia mtu bali huu ni ushauri tunaoutoa baada ya yeye kuomba ushauri hapa jamvini.

Au alitaka ushauri upi hapa ?

Nani anabisha sasa ?

Je akilala na mama yake pia vibaya ?

Sio lazima kwa wote,pengine mtoa mada yake haiwi hivyo asubuhi ?

Kama utakuwa unalala uchi sawa ataona tu.siku moja unajisahau nini wewe mawazo ya kiasherati tu

Maamuzi ya kipuuzi yatabaki ya kipuuzi ndugu yangu,huwezi kumlaza mgeni guest ukawa umefanya uamuzi sahihi.
Kuna option nyingi sana za kufanya kuliko huo ukosaji wa uungwana alioonesha mtoa mada
Sema we ni mbishi... Kuna vizazi vingi sana vinaharibika kwa kuwalaza watoto na wageni, watoto wengine mpaka wanakuja kuwa mashoga kwa kuwa tayari alishaanzishiwa michezo na wageni wa kushukia
 
MREJESHO

Kabla ya kupiga msos niliamua kumueleza wife kuwa "uncle" naenda kumlaza lodge na siwez kumuweka rehani cute girl wangu. Wife alikubali kwa shingo upande.

Fasta nikawacheki wadau wa boda waniangalizie chumba logde za uswazi.

Wakati wa kupiga msosi nikaamua kumchana "uncle" jinsi Dunia ilipofikia na maamuz yangu kwa wakat huo. Jamaa kwanza hakuamin kama nampeleka nje kulala kwa kuwa alijua tayar kafika.

Kiufupi, kalala logde ya kawaida sana (Bei kapuni) tofauti na kitambi kinavyomuonesha.

Nashukuru sana kwa msaada wa mawazo yenu. Linda familia yako bila kujali lawama zotakazo tokea
Huyo mkeo nae kiazi...kwanza day 1 tu alitakiwa achukue bint yake alalae.nae..anathamini kaka kuliko uzao wake..idiot....

When it comes to my kids sitak masihara ht km ni baba yangu
 
Wakati nipo form5 bording kwenye chumba chetu tulikua watu 4, form 1 wawili na sisi form5 wawili. Madogo walikua wanalala juu sisi chini. Mimi mzee wa mastory za mademu sana na utani utani basi nlikua na wafuasi wengi wananikubali na kuja room kwetu kusikiza mastory yangu jinsi nilivyokua fundi wa kuzichakata mbususu, haka kadogo ka form one ndio kananikubali kishenzi kila tukikaa kanataka niwape story na trick nilizokua nazitumia kutongoza na kula mbususu, basi kalikua kananiona mi ni fundi kwelikweli, kakawa kaniniganda hakachezi mbali na mimi.

Mi nlikua nakachulia kawaida tu ukijumlisha na ile age yake nikajua ni zile nyege tu za baleghe ndio zinamsumbua. Sometimes kanalala kwenye kitanda changu muda mrefu mpaka nikitimue ndio kinapanda juu kwenye kitanda chake.

Asubuhi akitandika kwake na kwangu pia ananitandikia, shuka anakunja, mi nilijua anafanya vile kwa kua muda mwingi hua anashinda kwenye kitanda changu, sometimes ananifulia mashati ya shule bila hata kumuomba, yote hayo mi nilikua nayachukulia kama vile heshima na kuniona mimi kama kaka yake pele shuleni.

Maana hata kwenye masomo nilikua nakapiga pindi halafu nakakomalia kwelikweli. Haka kadogo mama yake ni mtumishi kwenye wizara fulani, kamelelewa kishua na kudekezwa kimayai mayai. Mama yake alitalikiana na mumewe muda mrefu hivyo makuzi yake alilelewa na mama peke zaidi.

Kuna siku kalinipiga tukio nikabaki nimeduwaa ila kuja kukichimba na kukipiga mikwara ndio kikanieleza kua wakati yupo darasa la tano kuna mtoto wa ndugu yao alitoka kijijini na kuja mjini kuanza form one, alikua analala nae chumba kimoja ndie aliemfundisha huo upumbavu.

Baana ya kunieleza kisa kizima ilivyokua nikajiapiza siku nikipata mtoto sitathubutu kumlaza chumba kimoja na ndugu wa kiume wa aina yoyote.
 
Sema we ni mbishi... Kuna vizazi vingi sana vinaharibika kwa kuwalaza watoto na wageni, watoto wengine mpaka wanakuja kuwa mashoga kwa kuwa tayari alishaanzishiwa michezo na wageni wa kushukia
Umeelewa hoja yangu ?

Sijasapoti mtoto kulala na mjomba.

Nilichomuona huyu mtu kazingua ni kitendo cha kwenda kumuweka mgeni guest wakati kulikuwa na option zinginze za kistaarabu za kumfanya mgeni alale peke yake.

Ila sikulazimishi ukubali ninachosema,ila hwyo ni maoni yangu kwamba mtoa mada bado wmetumia utoto kum isolate anko wakati alikuwa na njia nyingi za kiutu uzima
 
Umeelewa hoja yangu ?

Sijasapoti mtoto kulala na mjomba.

Nilichomuona huyu mtu kazingua ni kitendo cha kwenda kumuweka mgeni guest wakati kulikuwa na option zinginze za kistaarabu za kumfanya mgeni alale peke yake.

Ila sikulazimishi ukubali ninachosema,ila hwyo ni maoni yangu kwamba mtoa mada bado wmetumia utoto kum isolate anko wakati alikuwa na njia nyingi za kiutu uzima
Huyo mgeni nae hazimtoshi tu.

We mara ya kwanza unalazwa chumba kimoja na mtoto wa kike halafu uje tena siku nyingine kulala hapohapo kweli?

Mkisema mlale na dogo mgeni ataona amekabidhiwa chumba hivyo hataondoka mapema.

Hapo options ni mbili tu mgeni alazwe sebuleni au akalale guest full stop.
 
MREJESHO

Kabla ya kupiga msos niliamua kumueleza wife kuwa "uncle" naenda kumlaza lodge na siwez kumuweka rehani cute girl wangu. Wife alikubali kwa shingo upande.

Fasta nikawacheki wadau wa boda waniangalizie chumba logde za uswazi.

Wakati wa kupiga msosi nikaamua kumchana "uncle" jinsi Dunia ilipofikia na maamuz yangu kwa wakat huo. Jamaa kwanza hakuamin kama nampeleka nje kulala kwa kuwa alijua tayar kafika.

Kiufupi, kalala logde ya kawaida sana (Bei kapuni) tofauti na kitambi kinavyomuonesha.

Nashukuru sana kwa msaada wa mawazo yenu. Linda familia yako bila kujali lawama zotakazo tokea
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] dahh itakuwa Kaku mind Sana dadeki
 
Habari ya leo.

Miezi kama 3 iliyopita alinitembelea shemeji yangu wa kiume (miaka zaidi ya 30) na alilala chumba cha watoto. Ikumbuke Nina Binti/mtoto wa kike miaka 5, wakati huo niliongea na mama watoto kuwa next time sitaki kuweka utu wa mtoto wangu rehani kwa watu wanaojiita "uncle"

Leo tena "uncle" kaja kwa mishe zake lakn bila ya kutoa taarifa, ninvyoona jamaa atalala hapa nyumbani. Sina chumba Cha wageni zaidi ya familia yangu tu

WANDUGU:

Nafikiria kumtafutia lodge akalale kuliko kulala na Binti yangu chumba kimoja maana Dunia imewekwa rehani. Nipo sahihi au inakuwaje?
Bora mkeo akalale na watoto wewe lala na huyo uncle
 
Huyo mgeni nae hazimtoshi tu.
We mara ya kwanza unalazwa chumba kimoja na mtoto wa kike halafu uje tena siku nyingine kulala hapohapo kweli?
Mkisema mlale na dogo mgeni ataona amekabidhiwa chumba hivyo hataondoka mapema.
Hapo options ni mbili tu mgeni alazwe sebuleni au akalale guest full stop.
Sawa mkuu kama unaona hivyo kila mtu na maoni yake.

Ila mimi kwa ndugu zangu wote wanaokuja kwangu hakuna ambae anakuja kwa ajili ya kutaka kusettle moja kwa moja,do najua ni jambo la siku moja tu au mbili.

Ila huyu jamaa anko wake naye inaonesha ana mishe zake so kaja kww muda tu hapo,
 
Mimi uncle..Baba mdogo.. mkubwa n.k siwezi kuruhusu wale na mtoto wangu awe wa like au wa kiuume..
Binadamu Ni ngumu kujua yupi Ni yupi..wengi Ni mashetani..
 
Next time mpeleke lodge yenye kunguni au mbu, ili akija mjini ajue kabisa anapaswa kuja na hela ya malazi...

MREJESHO

Kabla ya kupiga msos niliamua kumueleza wife kuwa "uncle" naenda kumlaza lodge na siwez kumuweka rehani cute girl wangu. Wife alikubali kwa shingo upande.

Fasta nikawacheki wadau wa boda waniangalizie chumba logde za uswazi.

Wakati wa kupiga msosi nikaamua kumchana "uncle" jinsi Dunia ilipofikia na maamuz yangu kwa wakat huo. Jamaa kwanza hakuamin kama nampeleka nje kulala kwa kuwa alijua tayar kafika.

Kiufupi, kalala logde ya kawaida sana (Bei kapuni) tofauti na kitambi kinavyomuonesha.

Nashukuru sana kwa msaada wa mawazo yenu. Linda familia yako bila kujali lawama zotakazo tokea
 
Hivi siku hizi watu hawalazwi sebuleni, jikoni au koridoni??

Yaani kweli mwanaume unaenda kwa dada yako, halafu unaona no sawa kulala chumba kimoja na kabinti???

Huyo mama mwenye mtoto naye ana akili kweli?? Kwa nini asingemchukua bintiye walau hata angelala naye chumbani kwenu??
 
Usirudie tena kumlaza na mtoto haitakiw kabisa dunia imebadirika
 
Back
Top Bottom