emiliano jr boy
Member
- Jul 2, 2017
- 76
- 28
Nipe yako ya kikubwaMawazo ya kitoto hayo
Mkuu lakini Morata akija pale si ataziba Gap?? Lakini inaonekana wapo kwenye mazungumzo??Baada ya Chelsea kumkosa LUKAKU atakayeenda Man United mda wowote ni vizuri Chelsea kumuomba msamaha DIEGO COSTA na kumrudisha kwenye kikosi cha the blues mabingwa wa EPL Costa ndo mtambo wa mabao uliobakia kwan MORATA na MADRID watataka fedha nyingi za Usajiri
Sikia.Mkuu lakini Morata akija pale si ataziba Gap?? Lakini inaonekana wapo kwenye mazungumzo??
Costa pamoja na wachezaji wenzie wameumizwa sana na sms ya Conte kwa mchezaji wake muhimuBaada ya Chelsea kumkosa LUKAKU atakayeenda Man United mda wowote ni vizuri Chelsea kumuomba msamaha DIEGO COSTA na kumrudisha kwenye kikosi cha the blues mabingwa wa EPL Costa ndo mtambo wa mabao uliobakia kwan MORATA na MADRID watataka fedha nyingi za Usajiri
anhaa...poa sana mkuuSikia.
Morata kila timu alocheza hajawahi kuwa first XI so kazi ipo kukabili udandaca wa epl
KweliCosta pamoja na wachezaji wenzie wameumizwa sana na sms ya Conte kwa mchezaji wake muhimu
anhaa...poa sana mkuu
Morat sio wakuvaa viatu vya costaMkuu lakini Morata akija pale si ataziba Gap?? Lakini inaonekana wapo kwenye mazungumzo??
ok, mbadala sahihi ni nani?Morat sio wakuvaa viatu vya costa
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
Pellotiok, mbadala sahihi ni nani?
ohoo..poa mkuuPelloti
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app