DEMOCRATIC PROCESS ya CHADEMA imewaabisha sana..
Wassira kaja na hoja kwamba:
Mkutano Mkuu can do anything.
Hivyo, ikawatuma Halmashauri Kuu
- wakati Konde Boy na Zuchu na Ally Kiba wanatumbuiza - waende "KUONDOA VIKWAZO."
View: https://youtu.be/IMpd59VFxqY?si=eOyHa3FW216q-r2_
Swali Je, unawezaje kuondoa kikwazo ambacho ni takwa la kikatiba ?
This is the evil genius of Julius Kambarage. Kwenye katiba ya chama na ile ya nchi.
Aliweka dirisha dogo (loop hole) linalosema chochote kwenye katiba hii kinaweza kuvunjwa kwa kufuata utaratibu X..Y...Z...
Katiba inakuwa powerless.
Binafsi hawa waliokuja baada ya Julius wala siwaulumu, wanaiga tu. Hakuna mwemye uwezo wa ku reform chochote kibovu alichoasisi Kambarage.
Wassira kaja na hoja kwamba:
Mkutano Mkuu can do anything.
Hivyo, ikawatuma Halmashauri Kuu
- wakati Konde Boy na Zuchu na Ally Kiba wanatumbuiza - waende "KUONDOA VIKWAZO."
View: https://youtu.be/IMpd59VFxqY?si=eOyHa3FW216q-r2_
Swali Je, unawezaje kuondoa kikwazo ambacho ni takwa la kikatiba ?
This is the evil genius of Julius Kambarage. Kwenye katiba ya chama na ile ya nchi.
Aliweka dirisha dogo (loop hole) linalosema chochote kwenye katiba hii kinaweza kuvunjwa kwa kufuata utaratibu X..Y...Z...
Katiba inakuwa powerless.
Binafsi hawa waliokuja baada ya Julius wala siwaulumu, wanaiga tu. Hakuna mwemye uwezo wa ku reform chochote kibovu alichoasisi Kambarage.