milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Mkutano mkuu unakuwa umelipata wapi jina la mgombea???Mwanachama wa CCM haujui kapitishwaje/kateuliwaje?
View attachment 3217463
Wapinzani mnaangaika sana na mambo yasiyowahusu.
![]()
Historia Mpya Iliandikwa Kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa CCM 2025. Lakini Inaweza Kuwa na Maana Gani kwa Tanzania? - The Chanzo
Kwa siku za mbeleni kutakua na shauku kubwa ya kuona ni makundi yapi yamepata nguvu na makundi yapi ushawishi wake umepungua au kuisha kabisa.thechanzo.com
View attachment 3217498