totlo masire
JF-Expert Member
- Nov 7, 2021
- 868
- 1,398
Hili halina ubishi tabu inayopatikana ni ya nguo kuchanika, hawa wanaojulikana mawifi inakuwa mtihani katika ndoa japo na wao huwa ni mawifi, yaani inakuwa hapaeleweki, embu wadada tupeni elimu inakuwaje?
Yani Acha kabisa mkuu! Alikuja mdogo wangu field nikakaa nae miezi 3 ilikuwa niyakutumia akili kama nasoma international school....
hamna rangi niliachaona hii kipindi nilikuwa natumia akili sana kubalance japo nilikuwa naona kabisa ndugu yangu anakosea na nilikuwa ni mkali sana hii ndo ilinisaidia”
Na dogo kwa sababu namjua alivyo haikunipa shida ila sijui ni kwann lazima purukushani kidogo na usipotumia akili unaweza kuharibu kabisa ni mtihani sana kuishi na ndugu om kwako ukiwa una mke