Isbnmax
Member
- Apr 13, 2017
- 29
- 33
Max Malipo wawekeni wazi mawakala wenu kuhusu kupungua kwa kamisheni, haiwezekani mkasema tu kuwa kamishen imepungua kutoka 2.5% hadi 0.5% ya mauzo anayofanya wakala kwny luku alafu muishie hapo hapo.
A). 0.5% ya 100,000 ni shilingi 500, yaani wakala akiuza umeme wa luku wa 100,000 anapata shilingi 500 kuanzia leo 02/04/2018 kama mlivyotutumia ujumbe kwnye mashine za maxmalipo jana usiku kuwa kamishen ya mauzo ya luku ni 0.5 ya kile nitakachouza.
B). Kumbukeni kuwa nikiweka 100,000 kwenye mashine ya maxmalipi kutoka kwenye laini yangu ya vodacom ninatozwa ada ya shilingi 700, huu ni utatatibu wa siku nyingi ####
#NB NIKIWEKA 100,000 KWENYE MASHINE YA MAXMALIPO NINAKATWA 700, NIKIIUZA HIYO 100,000 NINAPATA FAIDA YA 500 AMBAPO NINAKUWA NIMETENGENEZA HASARA YA SH 200
(C) Pia ili wakala aweze kuuza umeme kwa kutumia mashine ya maxmalipo ni lazima anunue roller ya karatasi na roller 1 ni shilingi 2000, hapo hapo anatakiwa alipe kodi ya pango la biashara, anatakiwa ale, anywe, avae, atunze familia, ajenge kwake, anunue gari n.k
SASA HII NI KAZI AU KADHIA?
A). 0.5% ya 100,000 ni shilingi 500, yaani wakala akiuza umeme wa luku wa 100,000 anapata shilingi 500 kuanzia leo 02/04/2018 kama mlivyotutumia ujumbe kwnye mashine za maxmalipo jana usiku kuwa kamishen ya mauzo ya luku ni 0.5 ya kile nitakachouza.
B). Kumbukeni kuwa nikiweka 100,000 kwenye mashine ya maxmalipi kutoka kwenye laini yangu ya vodacom ninatozwa ada ya shilingi 700, huu ni utatatibu wa siku nyingi ####
#NB NIKIWEKA 100,000 KWENYE MASHINE YA MAXMALIPO NINAKATWA 700, NIKIIUZA HIYO 100,000 NINAPATA FAIDA YA 500 AMBAPO NINAKUWA NIMETENGENEZA HASARA YA SH 200
(C) Pia ili wakala aweze kuuza umeme kwa kutumia mashine ya maxmalipo ni lazima anunue roller ya karatasi na roller 1 ni shilingi 2000, hapo hapo anatakiwa alipe kodi ya pango la biashara, anatakiwa ale, anywe, avae, atunze familia, ajenge kwake, anunue gari n.k
SASA HII NI KAZI AU KADHIA?