heee hiyo siku wakiipata naomba na mimi niwepo upande wako, haiwezekani mzinze awe na miaka 20Katika ligi yetu naweza kusema Skudu peke yake ndio mchezaji ambaye naweza nikashawishika na usahihi wa umri wake.
Skudu alikuwa na uwezo wa kusema ana 24 na hakuna mtu mwenye angekuwa na doubt.
Ila huyu anayeitwa Mzize kuniambia ni under 20 hapana yani, nawaambia tafuteni siku ambayo mpo free tubishane vizuri.
Sawa mama Max tumekusikia. Lakini ulipaswa kutuonesha kadi ya mwanao Nzegeli hapa. Halafu hata akiwa na miaka 40 lakini performance yake imewaridhisha wana Yanga uwanjani hiyo hoja yako ya umri ukampambanie Bocco huko msimbazi kwenu. Yaani umekosa mada unakuja kujadili umri wa mchezaji ni kama vile ni jambo jipya kwa wachezaji wa Africa.Katika uchunguzi wangu WA AWALI nimeanza kupata mashaka na umri sahihi wa huyu "Polepole" wa Yanga, Maxi Nzengeli. Kuna vitu kadhaa nimevichunguza vinavyonipa mashaka na umri wake sahihi. Nikiangalia mitandaoni wanasema huyu ni "mtoto" wa 2000, yaani eti ana miaka 23.
Kuna watu baada ya game ya Kaizer Chiefs walimtabiria huyu hatadumu Yanga bali atakuja kuuzwa nje. Huyu "mtoto" akipigwa vipimo vya MRI na ma X-Ray huko nje kuhakiki umri wake, Yanga mrarudishiwa mchezaji wenu dakika 0.
Huyu "mtoto" inabidi hata Saidoo akikutana naye amuamkie shikamoo.
Msinirushie mawe bado naendelea na uchunguzi wangu.
Mama wa una visaKatika uchunguzi wangu WA AWALI nimeanza kupata mashaka na umri sahihi wa huyu "Polepole" wa Yanga, Maxi Nzengeli. Kuna vitu kadhaa nimevichunguza vinavyonipa mashaka na umri wake sahihi. Nikiangalia mitandaoni wanasema huyu ni "mtoto" wa 2000, yaani eti ana miaka 23.
Kuna watu baada ya game ya Kaizer Chiefs walimtabiria huyu hatadumu Yanga bali atakuja kuuzwa nje. Huyu "mtoto" akipigwa vipimo vya MRI na ma X-Ray huko nje kuhakiki umri wake, Yanga mrarudishiwa mchezaji wenu dakika 0.
Huyu "mtoto" inabidi hata Saidoo akikutana naye amuamkie shikamoo.
Msinirushie mawe bado naendelea na uchunguzi wangu.
Sio 20 walisema yupo chini ya 20heee hiyo siku wakiipata naomba na mimi niwepo upande wako, haiwezekani mzinze awe na miaka 20
Watanzania bana,akili zenu, ccm wameziharibu, hapo ndio kaja na uzi sasaUnaongea bila facts,halafu mkikosolewa mnasema watu tunachuki na nyie!
Pathetic
Kwanini mpira wa bongo unashabikiwa na machizi ?timazama hata wachambuzi na wasemaji wa vilabuKatika uchunguzi wangu WA AWALI nimeanza kupata mashaka na umri sahihi wa huyu "Polepole" wa Yanga, Maxi Nzengeli. Kuna vitu kadhaa nimevichunguza vinavyonipa mashaka na umri wake sahihi. Nikiangalia mitandaoni wanasema huyu ni "mtoto" wa 2000, yaani eti ana miaka 23.
Kuna watu baada ya game ya Kaizer Chiefs walimtabiria huyu hatadumu Yanga bali atakuja kuuzwa nje. Huyu "mtoto" akipigwa vipimo vya MRI na ma X-Ray huko nje kuhakiki umri wake, Yanga mrarudishiwa mchezaji wenu dakika 0.
Huyu "mtoto" inabidi hata Saidoo akikutana naye amuamkie shikamoo.
Msinirushie mawe bado naendelea na uchunguzi wangu.
Mzize ni mchezaji kinda...Katika ligi yetu naweza kusema Skudu peke yake ndio mchezaji ambaye naweza nikashawishika na usahihi wa umri wake.
Skudu alikuwa na uwezo wa kusema ana 24 na hakuna mtu mwenye angekuwa na doubt.
Ila huyu anayeitwa Mzize kuniambia ni under 20 hapana yani, nawaambia tafuteni siku ambayo mpo free tubishane vizuri.
Hivi unakomaa na umri wa mchezaji, ili ikusaidie nini? Au kuna limit ya UMRI?Katika uchunguzi wangu WA AWALI nimeanza kupata mashaka na umri sahihi wa huyu "Polepole" wa Yanga, Maxi Nzengeli. Kuna vitu kadhaa nimevichunguza vinavyonipa mashaka na umri wake sahihi. Nikiangalia mitandaoni wanasema huyu ni "mtoto" wa 2000, yaani eti ana miaka 23.
Kuna watu baada ya game ya Kaizer Chiefs walimtabiria huyu hatadumu Yanga bali atakuja kuuzwa nje. Huyu "mtoto" akipigwa vipimo vya MRI na ma X-Ray huko nje kuhakiki umri wake, Yanga mrarudishiwa mchezaji wenu dakika 0.
Huyu "mtoto" inabidi hata Saidoo akikutana naye amuamkie shikamoo.
Msinirushie mawe bado naendelea na uchunguzi wangu.
Baada ya ule uzi wako wa Wakristu kuwafunga Waislam, huu ni uzi mwingine unaotupa mashaka na uelewa wako. Umekuja na hoja ila huna ushahidi ni umbea usiokuwa na tija. Ungeweka ushahidi ni mwaka upi huyu mtu alizaliwa, au ni matukio gani ambayo yanabainisha kuwa ana umri tofauti na ule unaotajwa.Katika uchunguzi wangu WA AWALI nimeanza kupata mashaka na umri sahihi wa huyu "Polepole" wa Yanga, Maxi Nzengeli. Kuna vitu kadhaa nimevichunguza vinavyonipa mashaka na umri wake sahihi. Nikiangalia mitandaoni wanasema huyu ni "mtoto" wa 2000, yaani eti ana miaka 23.
Kuna watu baada ya game ya Kaizer Chiefs walimtabiria huyu hatadumu Yanga bali atakuja kuuzwa nje. Huyu "mtoto" akipigwa vipimo vya MRI na ma X-Ray huko nje kuhakiki umri wake, Yanga mrarudishiwa mchezaji wenu dakika 0.
Huyu "mtoto" inabidi hata Saidoo akikutana naye amuamkie shikamoo.
Msinirushie mawe bado naendelea na uchunguzi wangu.
Anataka Mme labdaHivi unakomaa na umri wa mchezaji, ili ikusaidie nini? Au kuna limit ya UMRI?
Hii mifumo yetu iliyojaa rushwa na ubabaishaji ni rahisi sana kufanya mambo haya. Mtu anakata miaka 10-15 kama si kituKatika ligi yetu naweza kusema Skudu peke yake ndio mchezaji ambaye naweza nikashawishika na usahihi wa umri wake.
Skudu alikuwa na uwezo wa kusema ana 24 na hakuna mtu mwenye angekuwa na doubt.
Ila huyu anayeitwa Mzize kuniambia ni under 20 hapana yani, nawaambia tafuteni siku ambayo mpo free tubishane vizuri.
Hili jamaa ni punguani achana naloBaada ya ule uzi wako wa Wakristu kuwafunga Waislam, huu ni uzi mwingine unaotupa mashaka na uelewa wako. Umekuja na hoja ila huna ushahidi ni umbea usiokuwa na tija. Ungeweka ushahidi ni mwaka upi huyu mtu alizaliwa, au ni matukio gani ambayo yanabainisha kuwa ana umri tofauti na ule unaotajwa.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app