Maxence Melo: Nilipoteza marafiki wengi, tuna Sheria mbovu ya Makosa ya Mtandao. Tuna haki ya kuhoji

Inasikika wengi wanaotafutwa humu ni wale wanaokesha kwenye siasa, ila wako pia wenye mamlaka kwa sababu zao binafsi wanatafuta taarifa hata za MMU....

Nafurahi kusoma kuwa Kasinde nalindwa 🥰

Mahaba kedekede kwa Mkurugenzi Mkuu 😘.
 
Inasikika wengi wanaotafutwa humu ni wale wanaokesha kwenye siasa, ila wako pia wenye mamlaka kwa sababu zao binafsi wanatafuta taarifa hata za MMU....

Nafurahi kusoma kuwa Kasinde nalindwa [emoji3059]

Mahaba kedekede kwa Mkurugenzi Mkuu [emoji8].
Hakika
 
Always never disappoint bro. Keep it Up.
 
Dah! Bila shaka Mwamba alipata ujasiri wa kufunguka haya yote mara baada tu ya yule Mheshimiwa kutwaliwa na Izraeli Mtoa roho!! Hakika miaka ile (2015-2021) ilikuwa ni miaka yenye heka heka nyingi sana kwa wakosoaji wa serikali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…