Maxence Melo: Tumkumbuke William (Lemutuz) kama Mtetezi wa Uhuru wa Kujieleza na Mtetezi wa uwajibikaji Nchini

Maxence Melo: Tumkumbuke William (Lemutuz) kama Mtetezi wa Uhuru wa Kujieleza na Mtetezi wa uwajibikaji Nchini

Hakuna marehemu mbaya
Mshana Jr.!
Kuna kitu cha msingi watu wanaki-overlook kwenye swala hili zito kuhsiana na wasifu wa watu wanapokuwa wametangulia mbele ya haki.
Naturally Mungu alimuumba binadamu ili atende yale ambayo ni mema tu isispokuwa kwa bahati mbaya sana, ilitokea binadamu mwenyewe akawa ametengeneza mwenyewe loophole iliyopelekea atende mabaya pia.

Kwa hiyo Mungu alimuumba mwanadamu ili atende mema tu; na hivyo pale inapotokea mwanadamu huyo ametangulia mbele ya haki; tunakuwa na haki ya kusema yale tu ambayo kwayo Mungu alikusudia mwanadamu ayatende tangu uumbaji

Kwa yale ambayo ni mabaya, binadamu anayatenda kwa bahati mbaya na hayamo kwenye kusudi lile ambalo lilipelekea Mungu akamuumba mwanadamu

Kwa hiyo inapotoea mwanadamu ametangulia mbele ya haki, tuna haki ya kuyasema yale tu ambayo Mungu alikusudia mwanadamu ayatende na si vinginevyo
 
Hearsay!

Information that was heard by one person about another that cannot be adequately substantiated.
(law) Evidence based on the reports of others, which is normally inadmissible because it was not made under oath, rather than on personal knowledge
 
Jamaa nilikua namkubali kitu kimoja, Kila kitu alikua anachukulia easy sana, Kuna thread hapa kipindi Iko Yuko active yaani anatukanwa na karibu wachangiaji wote jamaa anakula nao sahani Moja, jamaa alikua mbishi balaa, alifanya ligi karibu na member 70 wote wakapoteana

So sad ile screenshot ya insta akichat na mwanaye ni kama alikuwa anamuaga kwa kujaribu kutafuta amani naye,sad enough toto likajipakulia laana kwa gupande gukubwa.
 
Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo Mubyazi ametoa pole kwa familia ya Waziri Mkuu Mstaafu John Malecela kwa msiba mzito wa mpendwa wao ambae yeye amefahamiana nae kwa takriban miaka 20.

Melo amesema ameshirikiana na Marehemu kwa mambo mengi, pamoja na watu wengi kumtambua kama Le Mubebez yeye anamtambua kama “Sauti ya Umeme”, mwanachama wa mwanzo kabisa wa JamiiForums na mtu aliyekuwa anaamini kuwa binadamu wanapaswa kusemezana bila kuoneana haya.

Ameongeza, “lakini zaidi kulipotokea sheria mbalimbali au kanuni, William alitoa ushirikiano mkubwa na alikuwa sehemu ya kuomba marekebisho yafanyike ili space hii ya digitali iwe rafiki kwa kila mtu. Kwa mantiki hiyo, pamoja na mambo mengine yote, tumkumbuke William kama mtetezi wa Uhuru wa Kujieleza na mtetezi wa uwajibikaji nchini”

Lembebez hakuwa na baya
Aliishi maisha yake kwa raha na amani
 
Kuna kitu cha msingi watu wanaki-overlook kwenye swala hili zito kuhsiana na wasifu wa watu wanapokuwa wametangulia mbele ya haki.
Naturally Mungu alimuumba binadamu ili atende yale ambayo ni mema tu isispokuwa kwa bahati mbaya sana, ilitokea binadamu mwenyewe akawa ametengeneza mwenyewe loophole iliyopelekea atende mabaya pia.

Kwa hiyo Mungu alimuumba mwanadamu ili atende mema tu; na hivyo pale inapotokea mwanadamu huyo ametangulia mbele ya haki; tunakuwa na haki ya kusema yale tu ambayo kwayo Mungu alikusudia mwanadamu ayatende tangu uumbaji

Kwa yale ambayo ni mabaya, binadamu anayatenda kwa bahati mbaya na hayamo kwenye kusudi lile ambalo lilipelekea Mungu akamuumba mwanadamu

Kwa hiyo inapotoea mwanadamu ametangulia mbele ya haki, tuna haki ya kuyasema yale tu ambayo Mungu alikusudia mwanadamu ayatende na si vinginevyo
Wachache sana watakuelewa
 
Back
Top Bottom