Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
Nimesoma comment nyingi kuhusu marehemu. Mungu ampumzishe kwa amani. Kwamba akikuwa na attitude simple kuhusu maisha. Pengine ni kweli ila alichelewa kuwa nayo. Amefariki kwa matatizo ya moyo. Labda kama alizaliwa na hayo matatizo, ila navyojua na kudhania ni kwamba, nyuma ya tabasamu lake pana na angavu, jamaa alikuwa na maumivu mengi moyoni yaliyopelekea kumkosesha amani ya moyo. Kukosana na kina Mange si jambo dogo. Kukosana na wanawe, hadi kumdhalilisha si jambo dogo.
Haya na mengine yalimpelekea kutafuta faraja kwa general public pamoja na bebez. Kubwa ni kwamba pengine alijua hatadumu sana ndio akaanza kutafuta suluhu, hasa na familia yake. Pengine alipaswa kuomba msamaha kwa mkewe kwanza.
Hayo yameshatokea tuyachukue mazuri yake na kuishi nayo
Haya na mengine yalimpelekea kutafuta faraja kwa general public pamoja na bebez. Kubwa ni kwamba pengine alijua hatadumu sana ndio akaanza kutafuta suluhu, hasa na familia yake. Pengine alipaswa kuomba msamaha kwa mkewe kwanza.
Hayo yameshatokea tuyachukue mazuri yake na kuishi nayo