Maximo, Countinho waliliwa Brazil, Diamond atajwa

Maximo, Countinho waliliwa Brazil, Diamond atajwa

Dah gongo hizi..!! Anyway umefanya nicheke sana

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
hahhahaha...... nimekosea jukwaa, au???
 
hahahaaa so diamond kawa mtanzania nambari moja kumrubuni mbrazil kuichezea Young

hahahahahaaaa.. nimecheka kwa bonge la sauti... hahahaaa.!!
hii trend inashika kasi kinoomaa hapa JF
 
hahhahaha...... nimekosea jukwaa, au???

hujakosea ni bac tu kuna mwanaume kalalwa na mwanaume mwenzake ndo kaja kumsifia c unajua humu kila mtu yupo au we mgenii
 
hujakosea ni bac tu kuna mwanaume kalalwa na mwanaume mwenzake ndo kaja kumsifia c unajua humu kila mtu yupo au we mgenii

hehehee,,, yani hii kali aisee
 
Baadhi ya blogs za Brazil zimedai kama Andrey Countinho wa Dar young african angeitwa national team hakika ile adhabu ya jana wasingeipata.

Lawama zilimuendea zaidi Maximo kwa kulileta kinda hilo Yanga wakati hata Corithians walikuwa wanataka li signature lake ila mchangiaji mmoja aitwaye Thiago aliyejitambulisha kama rafiki wa Countinho alimshushia lawama kali msanii Diamond kwa kutoa ma song makali ambayo yalichangia kwa kiasi kikubwa bwana Countinho kuja bongo ili awe anafaidi ma live shows ya Dangote platinum,

Tahira
 
ahahah! huna lolote wewe,btw nimependa ulivyotukamata kuanzia mbaali halafu conclusion ndo imebeba main point.
 
Back
Top Bottom