"May be it's my fate..." kauli kama hii ina maana gani?

"May be it's my fate..." kauli kama hii ina maana gani?

Mj1

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2017
Posts
1,032
Reaction score
977
Wakuu nawaamkua.

Wakongwe naamini tunapaswa kumshukuru Mungu kwa uzima na afya.

Kwa muda sikuweza kuwepo humu lakini hekima, busara na elimu ambayo niliipata humu sitoweza kuisahau kamwe. Bado JamiiForum ni kisima cha maarifa katika nyanja mbalimbali za maisha yetu.​

Ninakuja na swali hapa ambalo nalikita katika eneo moja tu.

Kwa muda mrefu tumekuwa tukisikia sentensi za "Shetani kanipitia" nimekosea haikuwa dhamira yangu n.k. Hizi hazinipi shida sana waheshimiwa wakuu LAKINI hii ya FATE....May be its my fate...fate imenigharimu ...najikuta napata kigugumizi kwasababu kusema kweli mimi huyu FATE simuelewi...kwamba eti ni fate mtu awe anaangukia mikononi mwa wany'anganyi tu, huyu fate asababishe maumivu kwako tu au akupelekege wewe tu kwenye pepo yako ya dunia wakati wengine wanaumia!! n.k.

Je huyu fate hawezi kuwa defeated? Huwezi mzuia? and why huyu fate awe so nice kwa wengine na kwa wengine awe wa kukuletea maumivu tu?? JE HUYU FATE YUPO KWELI AU NDIO HABARI YA SHETANI KANIPITIA/ AU NDO MAMBO YA A POSITIVE MIND?

Jamani ambao mlishamuexperience Fate naomba ushuhuda wenu... Fate, Fate.. Fate!!! Mh​
 
Nina mke na mahusiano almost ten years. Sitaki kuamini miaka hii ni mingi jifunze sana kumjua mwenzio kabla hamjaoana. Namaanisha mda wa kifahamiana na kuwa wachumba at least miaka miwili.
🙌🙌🙌🙌Nikajua mwenetu chamaa la kujichukulia Sheria mkononi
 
Nina mke na mahusiano almost ten years. Sitaki kuamini miaka hii ni mingi jifunze sana kumjua mwenzio kabla hamjaoana. Namaanisha mda wa kifahamiana na kuwa wachumba at least miaka miwili.
Ahsante sana Mkuu...

Hapa najifunza kuwa muda ni muhimu sana katika kufahamiana, Fate what if unaangukia mikononi mwa wale wale...... Is it fate au ni maamuzi tu?

Yaani mimi sielewi kama kuna kitu kinaitwa na kuaminiwa kuwa fate. Eti kila ukiingia kwenye mahusiano wewe unafall kwa wapigaji, abusers au hata the so called sweeties tu?

(Sisemi kuwa hawakutreat well and good) but why inakuwa inajirudiaga?? Is is fate au ni kitu kingine?
 
Ahsante sana Mkuu.......... Hapa najifunza kuwa muda ni muhimu sana katika kufahamiana, Fate what if unaangukia mikononi mwa wale wale...... Is it fate au ni maamuzi tu? Yaani mimi sielewi kama...
Kwa kweli you might be fated to be with someone

Ila swala la kupiga linaweza kuwa other factors ambazo ni za mtu binafsi
 
Nina mke na mahusiano almost ten years. Sitaki kuamini miaka hii ni mingi jifunze sana kumjua mwenzio kabla hamjaoana. Namaanisha mda wa kifahamiana na kuwa wachumba at least miaka miwili.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jifunze sana kujua kilichoandikwa kabla ya kujibu.
 
Nilisoma ila nilijibu kutokana na uhalisia wangu wewe rudia kusoma tena
Huwezi kujibu kutokana na uhasilia wako bali unatakiwa ujibu kutokana na kichoulizwa. Inaelekea ''english gongana'' hivyo pengine siyo kosa lako!
 
Huwezi kujibu kutokana na uhasilia wako bali unatakiwa ujibu kutokana na kichoulizwa. Inaelekea ''english gongana'' hivyo pengine siyo kosa lako!
aisee kwa hiyi unaona nimejibu sivyo 😂
ngoja nikaishi kwenye site yangu huku hakunifai
 
Mkuu when it comes to the matters of the hearts...........Dah aya mambo jamani. Wengi sana wanaishi kimazoea na kuishia kuugulia tu maumivu.........Bado namuulizia uyu fate.......yupo kweli?? maana kwa rates za divorce, magomvi, separations, divorced na hata kuuana inazidi kuongezeka........huyu fate hapana ananikatisha tamaa. Ila inawezekana kwa mimi mwenye elimu ya ndombaru ninaeamini kuwa fate inachukuliwa kama "majaaliwa" nakosea (Hivi kuna majaaliwa yanayojaalia maumivu?)
 
Mkuu when it comes to the matters of the hearts...........Dah aya mambo jamani. Wengi sana wanaishi kimazoea na kuishia kuugulia tu maumivu.........Bado namuulizia uyu fate.......yupo kweli?? maana kwa rates za divorce, magomvi, separations, divorced na hata kuuana inazidi kuongezeka........huyu fate hapana ananikatisha tamaa. Ila inawezekana kwa mimi mwenye elimu ya ndombaru ninaeamini kuwa fate inachukuliwa kama "majaaliwa" nakosea (Hivi kuna majaaliwa yanayojaalia maumivu?)
Kama ni fate.... its behind your control.. Mambo ya supernatural power, God's will, destiny.. 👍
Kuuliza ivo ni sawa na kuuliza kama Mungu yupo? Au je katika maisha tunapanga kilakitu (free will) au kilakitu kilishapangwa kwa ajili yetu? (predestined)..
 
  • Thanks
Reactions: Mj1
Back
Top Bottom