May be this love not for me

Itakuwa ulimchanganya hapo uliposema "tunaweza onana"

Hususani kama ni shabiki wa Simba na ukicheki zile cross jinsi zinavyokuwa gumzo huko Zenji

So maybe next time try your lucky with other player outside of Simba. I promise it's gonna work
 
Mkuu tuna share weekend kwa masikitiko
 
njanuary ni ngumu usilichambe
Hili lazima nilichambe, najua piga us, litanitafutaa .

Hapo limenikaushia ili lipigwe hii naiti litoke na maokoto, alafu namm kesho litanitafuta ili nijichanganye nalo Tena litoke na maokoto.


Meseji kesho nitakalolijibu ni hiii..


Wee Jana hukutaka kujibu sms na hatimaye hukupokea kwasababu ya Bwanako.

Hukujali muda wangu , badala yake ukaona kwakua nmekuomba Kumayako, nitakua nayo shida sana.

Sasa sihitaji tena Kumayako, Kaa nayo, Kumani nyingi sana zinamwagikia.
 
utashare nami majibu atakayokupa😅😅

mchozi umenilenga
 
utashare nami majibu atakayokupa😅😅

mchozi umenilenga
Haya ya hivi Huwa nayajuliaa, hajanitafuta Sasa Kwa sababu anajua nmejua kanipanga Mimi ili aliwe na jamaa yake walikua wameshapanga kitambo.

Sasa Kwa sababu ya njaa, Asubuhi kuanzia saa Tano, muda ambao atakua anatoka Lodge, Sasa ndio atanikumbuka, akiamin anpangee ili na kwangu apate maokoto.



Heeeee hee heee, akijuaa nilichompangia, Bora Malaika wamstue, asinitafute.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…