Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
- Thread starter
- #41
Ni bora ungeweka Trace Muziki huko ndio hakufai kabisaMimi Niko sebulen naangalia Sinema zetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni bora ungeweka Trace Muziki huko ndio hakufai kabisaMimi Niko sebulen naangalia Sinema zetu.
anawez kuja na sababu nzuri ukaingia lineHaya ya hivi Huwa nayajuliaa, hajanitafuta Sasa Kwa sababu anajua nmejua kanipanga Mimi ili aliwe na jamaa yake walikua wameshapanga kitambo.
Sasa Kwa sababu ya njaa, Asubuhi kuanzia saa Tano, muda ambao atakua anatoka Lodge, Sasa ndio atanikumbuka, akiamin anpangee ili na kwangu apate maokoto.
Heeeee hee heee, akijuaa nilichompangia, Bora Malaika wamstue, asinitafute.
Nilikuwa nakutafuta hebu zoom hapo huwezi pata namba ukafanya jambo lako 🤣🤣🤣Haya ya hivi Huwa nayajuliaa, hajanitafuta Sasa Kwa sababu anajua nmejua kanipanga Mimi ili aliwe na jamaa yake walikua wameshapanga kitambo.
Sasa Kwa sababu ya njaa, Asubuhi kuanzia saa Tano, muda ambao atakua anatoka Lodge, Sasa ndio atanikumbuka, akiamin anpangee ili na kwangu apate maokoto.
Heeeee hee heee, akijuaa nilichompangia, Bora Malaika wamstue, asinitafute.
Hahahahha chenga sana weeNilikuwa nakutafuta hebu zoom hapo huwezi pata namba ukafanya jambo lako 🤣🤣🤣
Hakika
wewe nisije nikafungiwa na JFWeee hebu tuone
Ila jitahidi kuficha namba mafisi kibao humu
Mimi huyu???anawez kuja na sababu nzuri ukaingia line
Eti mume wangu 🤣🤣🤣🤣Mimi huyu???
Unaona huyu , Nimemuacha Kwa namna hii !!
View attachment 2864080
Anakomaa
View attachment 2864087
Oyaaa mazee Hawa MADEMU wanatuishi Kwa faida zao .
Mwaka 2024, mkatae kuchezewa akili.
Wewe hujui tu weekend ilivyo ndefu alone. Just imagine mtu mnayechat nae hivi leo anakukatalia kuja hata nyumbaniWe nae...stop being dramatic!
Yani kisa kakataa kulala ndo useme love is not for me?🙄
Huyu imeishaaaa akiwa na akili akajitafute kwingine.Eti mume wangu 🤣🤣🤣🤣
Hebu msamehe bwana
Kama manamba 😂hivi mnawezaje kuchat kavu kavu hivyo kama wanajeshi woooi
Mianya inaweza kuwepo ila mapenzi hamnaWanaume mna mianya mingi.. Sali upate mwingine mwema.
Mkuu tupambane tu hawa ndio tuliumbiwa sisi. Kama ataendelea kuniringia namimi nampiga chiniMimi huyu???
Unaona huyu , Nimemuacha Kwa namna hii !!
View attachment 2864080
Anakomaa
View attachment 2864087
Oyaaa mazee Hawa MADEMU wanatuishi Kwa faida zao .
Mwaka 2024, mkatae kuchezewa akili.
Mkuuu Kwa Sasa usipende kutoa muda wa kuruhusu mwanamke uliyekwisha mtia, akupe wakat mgumu unaokujitaj umbembeleze.Mkuu tupambane tu hawa ndio tuliumbiwa sisi. Kama ataendelea kuniringia namimi nampiga chini