Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
hulijui kosa lako? kushirikiana na chrispin,halafu unampa na thanks kwa kunivua nguo?
Mtarajiwa wako akipewa thanks inakuwa nongwa. Please heshimu kiapo chako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hulijui kosa lako? kushirikiana na chrispin,halafu unampa na thanks kwa kunivua nguo?
Ha ha ha ha! sicheki nimeshtuka kukuvua nguo mbona ningejihisi mwenye bahati? anyway nisamehe baby wetu tumetoka mbali kumbuka mimi ndio nilio kukaribisha siku ulivyojitambulisha...na umenionaje kwenye picha yangu?
Mtarajiwa wako akipewa thanks inakuwa nongwa. Please heshimu kiapo chako.
Thanks guys mmenifurahisha na picha zenu hasa ya MASANILO NA NGULI. Nimezisave zinafurahisha sana. Uh!
Thanks guys mmenifurahisha na picha zenu hasa ya MASANILO NA NGULI. Nimezisave zinafurahisha sana. Uh!
Chrispin & Nguli,
Kabla sijawashtaki kwa Mode awafungie niombeni msamaha haraka sana. Nawapa dk 10 za kufanya hivo.
Hizi ni dak 10 ama masaa 10 ama miaka 10...ZD?
Mpwa taratibu. Malizana kwanza na babylove. Kashakutunuku! Watumishi tunakuombea mafanikio mema katika hilo libeneke.
Chabo inaruhusiwa mpwa!
Si amekuambia bado mdogo huyo. Taratibutaratibu utamkuza.
Unaanza na kichwa tu pole pole!
Shhhhhh! Anza na ulimi kuweka lubricant. Mpwa vipi? Mbona unakiuka maadili yetu?
Thanks guys mmenifurahisha na picha zenu hasa ya MASANILO NA NGULI. Nimezisave zinafurahisha sana. Uh!
Tushasameheana Masa wala usijali.Nguli alinomba msamaha hapo mbele angalia.Na chris ameniomba msamaha mahali pengine.ni Peace tu kwa kwenda mbele.Hizi ni dak 10 ama masaa 10 ama miaka 10...ZD?
Tushasameheana Masa wala usijali.Nguli alinomba msamaha hapo mbele angalia.Na chris ameniomba msamaha mahali pengine.ni Peace tu kwa kwenda mbele.
Kwa hiyo leo kama kawa?
Kawa gani tena?mbona unanitisha,
hahahahaaa.bado bwana,Fidel hajasema kitu wala nguli.hao akina SHE ndio kabisaaa.uwe na subira ili upigaji kura uwe huru na wa haki.Halafu hakuna kampeni!Aaa mchumba. zile kura si mwenyewe umeona ushindi ulivoniangukia?