Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Check pamba zangu na kiatu!
![]()
FIDEL80 Ndio huyu hapa!
Tadhali Fidel hauzi Kahawa bwana ni Mzee wa Fedha!
![]()
Tadhali Fidel hauzi Kahawa bwana ni Mzee wa Fedha!
![]()
Chrispin amezeeka naweka picha yake!
Babu Chrispin vipi?
![]()
Hahaha! Hiyo picha niliyokuwa naifanyia uchunguzi ni ya ziondaughter
ha ha ha ah! Chukua picha zetu zote tulizoweka then Anzisha thread wambie tunashida na mchumba
Hahaha! Hiyo picha niliyokuwa naifanyia uchunguzi ni ya ziondaughter
Chrispin & Nguli,
Kabla sijawashtaki kwa Mode awafungie niombeni msamaha haraka sana. Nawapa dk 10 za kufanya hivo.
Chrispin & Nguli,
Kabla sijawashtaki kwa Mode awafungie niombeni msamaha haraka sana. Nawapa dk 10 za kufanya hivo.
Umeuonaje uchambuzi wangu?
hulijui kosa lako? kushirikiana na chrispin,halafu unampa na thanks kwa kunivua nguo?Kwa kosa gani??
Hutaki kuomba msamaha?wewe subiri tu,.Toka lini mimi nikawa mzungu?Halafu sijavaa nguo kweli? Na heshima zangu zote hizi? hujui mimi ni mama mchungaji? we chrispin ndiye mnyonge wangu,leo umenigeuza niwe mnyonge wako kweli?
hulijui kosa lako? kushirikiana na chrispin,halafu unampa na thanks kwa kunivua nguo?