Tumainiandy
JF-Expert Member
- Jul 25, 2014
- 430
- 91
- Thread starter
- #61
Kware mkubwa akuwa na gram kuanzia 250 mpaka 300 ni ndege wadogo sio wakubwa hivyo
Naomba kuuliza, kwale aliekomaa na anaefaa kuliwa hufikisha uzito kilo ngapi?