Mayai ya kware yanapatikana kwa wingi sasa

Mayai ya kware yanapatikana kwa wingi sasa

Mtazamo wangu ni huu kuwa hiki ni chakula bora mayai ya kware ya nutrients 78 ambazo ni bora na zinahitajika katika mwili wa mwanadamu katika hizo 45 haziko kabisa kwenye mayai wa ndege wengine na 31 ambazo ziko kwa kuku kware amezidi zaidi ya mara moja na nusu mpaka mbili nakushauri embu google benefit of quail eggs ujionee mwenyewe.

Zitaje hizo nutrients 78 ili tuzijue na sisi tushawishike tule hayo mayai ya kware
 
Wadau iko hivi .

Mayai ya Kwale ni mazuri saana kwa Afya ...hii ni kweli .

Kama huamini ni vyema ukatafuta mtu ambaye kashayatumia kwa kufuata utaratibu wake na akushuhudie ni nn matomeo yake .

Kwa atayakaye hitaji kuyapata mayai haya kwa bei nafuu kabisaa Ya Tsh 15000/= Mayai 30 . kwa trei bei ambayo ni tofauti na wauzaji wengine .

Nipo Dar-es-salaam ..
Nitakupatia na formula/utaratibu maalumu wa kuyatumia mpaka dose iishe .

Karibuni saana kwa anayehitaji ataniPM .

Ahsenteni .

Kwa masikini utamsaidiaje ili na yy apate afya bora ya kula mayai ya kware?
 
Sisi pia tunauza mayai ya kware kwa bei ya shilingi 20,000/= kwa trei. Tunahamasisha na kutoa elimu juu ya ufugaji bora na faida za ufugaji wa kware. Tunaonesha wenye nia ya kufuga namna ya kutengeneza mabanda bora na ya bei nafuu. Tunauza kware wa wiki moja shs. 4000/=, wa wiki mbili shs. 5000/=, wiki tatu shs. 6000/=, na wiki nne shs. 7000/=. Mfugaji hahitaji kuwa na eneo kubwa ili kufuga kware. Chumba kidogo cha futi 10 kwa 10 chaweza kufuga kware hadi 1500 tofauti na kuku ambao idadi kama hiyo (1500) utahitajika kuwa na shamba ili uweze kufuga. Karibuni kwa maelekezo zaidi kupitia simu no. 0715 284 187. Tupo Mbezi Luis Dar, na tuna shamba la mfano lililokaguliwa na kuthibitishwa kwa kupewa hati na TFDA. Shamba la mfano tunaonesha bila gharama (free of charge). KARIBUNI WAJASIRIA.
 
Shukrani kwa taaarifa nitatafuta muda nije nikutembele ndugu nafikiri muda umefika kufanya hii kitu kwa scale kubwa.
Ahsante
 
Tunanza kufikia wakati mayai haya yataliwa na kila mtanzania kama chakula bora. Karibuni wandugu nimeshusha bei leo kwa manufaa ya kila mmoja
 
Back
Top Bottom