Nilikuwa nakula sna mayai yaan kwa mwez nlikuwa napiga trei moja na nusu dah nikaanza kuona tofaut yaan uume wangu ulikuwa hauwez simama na ku imara kabisa Hivyo nkaamua kuachana na kuanza kula TANGAWIZI kwa wing natafuna robo kwa siku sasa nmerudi ktk hal ya kawaida[/QUOT
Nina wasiwasi ulikula ya kichina aka ya kisasa; mbona ya kienyeji shwari Sana.