Mayai yanaweza kusababisha uume usisimame?

MAKAVU LAIVU

Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
75
Reaction score
12
Nilikuwa nakula sana mayai yaani kwa mwezi nilikuwa napiga trei moja na nusu dah nikaanza kuona tofauti yaani uume wangu ulikuwa hauwezi simama na kua imara kabisa.

Hivyo nikaamua kuachana na kuanza kula tangawiziI kwa wingi natafuna robo kwa siku sasa nimerudi katika hali ya kawaida.
 
mayai ya 'kienyeji' yanaimarisha misuli, ya 'kizungu' yanalegeza wewe ulikula yapi?
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…