MAKAVU LAIVU
Member
- Oct 13, 2012
- 75
- 12
Nilikuwa nakula sana mayai yaani kwa mwezi nilikuwa napiga trei moja na nusu dah nikaanza kuona tofauti yaani uume wangu ulikuwa hauwezi simama na kua imara kabisa.
Hivyo nikaamua kuachana na kuanza kula tangawiziI kwa wingi natafuna robo kwa siku sasa nimerudi katika hali ya kawaida.
Hivyo nikaamua kuachana na kuanza kula tangawiziI kwa wingi natafuna robo kwa siku sasa nimerudi katika hali ya kawaida.