Wakuu huyu kagame alianzia safari yake Tanzania kuelekea Rwanda. Kijiwe chake kilikuwa pale Bank house Gorges' club in 90s iwapo mtakumbuka. kitendo chake cha kumtishia Jakaya Kikwete maisha ni kosa kubwa sana. we created him and we still can destroy him before he knows it. we should act now before he claim the lives of innocent people.
Ndo maana wewe ni junior member hapa. you don't know jack shit. raisi wetu hajawahi kukaa "kijiweni" popote pale. mda huo wa kunywa kahawa na kashata hana na kupiga porojo za simba na yanga hana.
AfroAmerica Network Celebrates 15 Years of Existence
The Vision started in the bustling City of Baltimore, Maryland in July 1997. The Internet was still at its infancy and the fist Internet bubble was about to begin. But Africa and AfroAmerican world was very sparsely represented, if not inexistent, in the new World Wide Web.
Two AfroAmerican (an African and an American) visionaries wanted to correct that. They created AfroAmerica Network.
This african in the red is an interahamwe living in the US and I know him. So this new can be taken with a pinch of salt.
you have to discuss the content not attack who wrote it, stop ad homenin.... is what has been told in this article not true?? hasn't him being warned by us, uk??? etc
je hakupigiwa simu na museveni??? if you usa can negotiate with taliban why cant kagame do the same? arent taliban criminals?? are children born after gonocide also criminals?? if kabila can negotiate with M23 why cant kagame do the same?? kwani M23 sio criminals??? get a life!!!
rwanda is ruled by a mad man!!!!!
We don't go by what other people do. We go by what we want to do. We determine our history and our future.[/QUOTE
We don't go by what other people do. We go by what we want to do. We determine our history and our future.
Hivi huko kwenu hamna matatizo ya kutatua? Mfano ujambazi...mlisema eti wanyarwanda ndio wanafanya ujambazi huko maeneo ya kanda ya ziwa lakini hivi majuzi nimesikia basi moja la takwa lilitekwa abiria wakasafishwa vizuri tu....sasa sijui hao majambazi walitoka huku kwetu wakavuka mpaka na silaha mpaka wakafika singida na kufanya ujambazi huo? Pili, lakini kwanza niwape pole watanzania kwa kumpoteza huyo msomi aliyevamiwa na majambazi sasa sijui na hao majambazi ni "wanyarwanda"?
Mkuu kitu nilicho jifunza kutoka kwa breed hii ya ajabu ya PK ni kwamba, utawala wake wa takribani miongo miwili amefanikiwa sana ku-brainwash baadhi ya Raia wake 2 a point of no return! Wako totally cocooned kwenye virtual WORLD ya kwao ambayo sio REAL!! Wanakuwa na Dutch courage ya kutaka kushindana na Dunia, hawana habari kwamba ubishi bishi wao usio na taji ndio umeifanya Dunia kuchoshwa na story zao zilizo pitwa na wakati, wako mahili sana kutumia RUNGU la genocide kila kukicha kwa madhumuni ya kutafuta Sympathy kutoka International Community! Walivyo wa ajabu wanajificha nyuma ya pazia ya genocide ku-commit a MEGA-GENOCIDE kwenye nchi jirani ya DRC - walifyeka binadamu zaidi ya Millioni TANO ambao walikuwa ni wanawake, wanaume na watoto (Wahutu,Batwa na Wakongoman) ukatili wao huo unaendelezwa mpaka kwenye nchi jirani kwa njia ya ujambazi wa kuvamia mabasi na maduka, kuharibu mazingira kwa kulisha mifugo yao kwenye mbuga za wanyama - ng'ombe wengi ni mali ya mafisa wa Jeshi nchini Rwanda; ni nchi gani Duniani itakubali kuendelea kufumbia macho REGIME iliyo jaa kiburi, majivuno na kutishia maisha Viongozi wenzake!Leo hii dunia inamwambia/mshauri kwa nia njema kwamba ahache kuendeleza vurugu zake nchini Congo kwa ku-arm vikundi lukuki yeye anakuja juu eti Dunia inataka kuwatenga, hata rafiki yake na mtu aliye mlea PK i.e M7 akimwambia ukweli anakasirika kumbe mwenzake alisha gundua maji yanakaribia shingoni - yeye (PK) WALAA ubishi wake hupo pale pale!! Hivi Dunia ikihamua kuwatenga mtakuwa wageni wa NANI? Labda watakuwa wageni wa Murutongore au KOBA hao ndio nawaona ni ma-Stalwalt wa PK hawasikii la mtu na ku-see REASON!! Sisi tumemshauri MUKAMANTARE ahamie Tanzania ahache kutetea REGIME ambayo habebeki/ambiriki, na infact kadiri siku zinavyo kwenda naona the begining of the end ya REGIME ya PK as we know it, unless akubali kubadirika kitabia, akubali kushaurika ahache kudharau binadamu WENZAKE specifically Viongozi wenzake, akitimiza/tekeleza masharti hayo machache namuhakikishia hataharibikiwa. Nayasema haya kwa nia njema tu, sina hata chembe ya kumchukia yeye (PK) kama binadamu mwenzangu - nisicho hafikiana nacho ni matendo yake ya kupendelea a Military solution kwa kila jambo - nisingependelea kumuona PK akiburuzwa the Hague UNCEREMONIOUSLY.'' M23 ni jeshi disciplined-by Murutongore''Kumbe bado upo hapa, vipi ulisema JWTZ watakwisha imekuwaje ?
We don't go by what other people do. We go by what we want to do. We determine our history and our future.
thank u for making it clear and because of that attitude you and your psychopath dictator has been warned that the only way to have lasting peace is to negotiate and reconcile!!! its funny real as for FDRL i am sure the only people who committed genocide are dead or very old by now and probably account for only 1% of FDRL rebels the remaining fighters are genuinely fighting to get the normal civil right which they did not enjoy since there parents run into congo bushes, the young ones that are being persecuted now i am sure by 1994 were very young boys who knew nothing about what was going on, force is only used as the last resort, this is 5th century diplomacy its unthinkable people in 21st century like psychopath killer kagame don't know it yet!!!!
Mkuu kitu nilicho jifunza kutoka kwa breed hii ya ajabu ya PK ni kwamba, utawala wake wa takribani miongo miwili amefanikiwa sana ku-brainwash baadhi ya Raia wake 2 a point of no return! Wako totally cocooned kwenye virtual WORLD ya kwao ambayo sio REAL!! Wanakuwa na Dutch courage ya kutaka kushindana na Dunia, hawana habari kwamba ubishi bishi wao usio na taji ndio umeifanya Dunia kuchoshwa na story zao zilizo pitwa na wakati, wako mahili sana kutumia RUNGU la genocide kila kukicha kwa madhumuni ya kutafuta Sympathy kutoka International Community! Walivyo wa ajabu wanajificha nyuma ya pazia ya genocide ku-commit a MEGA-GENOCIDE kwenye nchi jirani ya DRC - walifyeka binadamu zaidi ya Millioni TANO ambao walikuwa ni wanawake, wanaume na watoto (Wahutu,Batwa na Wakongoman) ukatili wao huo unaendelezwa mpaka kwenye nchi jirani kwa njia ya ujambazi wa kuvamia mabasi na maduka, kuharibu mazingira kwa kulisha mifugo yao kwenye mbuga za wanyama - ng'ombe wengi ni mali ya mafisa wa Jeshi nchini Rwanda; ni nchi gani Duniani itakubali kuendelea kufumbia macho REGIME iliyo jaa kiburi, majivuno na kutishia maisha Viongozi wenzake!Leo hii dunia inamwambia/mshauri kwa nia njema kwamba ahache kuendeleza vurugu zake nchini Congo kwa ku-arm vikundi lukuki yeye anakuja juu eti Dunia inataka kuwatenga, hata rafiki yake na mtu aliye mlea PK i.e M7 akimwambia ukweli anakasirika kumbe mwenzake alisha gundua maji yanakaribia shingoni - yeye (PK) WALAA ubishi wake hupo pale pale!! Hivi Dunia ikihamua kuwatenga mtakuwa wageni wa NANI? Labda watakuwa wageni wa Murutongore au KOBA hao ndio nawaona ni ma-Stalwalt wa PK hawasikii la mtu na ku-see REASON!! Sisi tumemshauri MUKAMANTARE ahamie Tanzania ahache kutetea REGIME ambayo habebeki/ambiriki, na infact kadiri siku zinavyo kwenda naona the begining of the end ya REGIME ya PK as we know it, unless akubali kubadirika kitabia, akubali kushaurika ahache kudharau binadamu WENZAKE specifically Viongozi wenzake, akitimiza/tekeleza masharti hayo machache namuhakikishia hataharibikiwa. Nayasema haya kwa nia njema tu, sina hata chembe ya kumchukia yeye (PK) kama binadamu mwenzangu - nisicho hafikiana nacho ni matendo yake ya kupendelea a Military solution kwa kila jambo - nisingependelea kumuona PK akiburuzwa the Hague UNCEREMONIOUSLY.
Ook Col murutongore now i get u with ur Dictator Gen. Paul Kagame.
Ndiyo maana shughuli zenu ni tofauti na za binadamu wengine.
Mnabaka, mna-grab mali za watu kwa nguvu,mnauwa innocent civilians yaani mko tofauti kabisa na binadamu wengine.
"We go by what we want to do"
Sasa Col murutongore, kwanini mlikuwa mnakimbilia kwa Kaguta kuomba msaada while sasa hivi anawaambia muongee na vikundi vyenu vya opposition(not only FDLR but kuna vingine vingi) mnakataa mnaanza kusema mko wenyewe duniani?
Kaguta anawaeleza ukweli kama ule wa J.K aliwaeleza b4 lkn kwa sababu nyie mko tofauti na wengine hamtaki kuambiwa ukweli ili muache hayo mambo ya tofauti na binadamu.
Sasa mtakuwa against the world, msihangaike wala msijilaumu.
Yaani comments zako zinaishia hapa hapa...Kagame will never read your comments and does not care for your comments....comments zako zielekeze kwenye nchi yako iliyogubikwa na rushwa mpaka akina mama wanakufa kila siku kwa kukosa dawa na matibabu kwa sababu dawa zimekwapiliwa kwenye medical store....elekeza nguvu yako huko labda utaweza kuwasaidia watanzania wenzako.
Hivi huko kwenu hamna matatizo ya kutatua? Mfano ujambazi...mlisema eti wanyarwanda ndio wanafanya ujambazi huko maeneo ya kanda ya ziwa lakini hivi majuzi nimesikia basi moja la takwa lilitekwa abiria wakasafishwa vizuri tu....sasa sijui hao majambazi walitoka huku kwetu wakavuka mpaka na silaha mpaka wakafika singida na kufanya ujambazi huo? Pili, lakini kwanza niwape pole watanzania kwa kumpoteza huyo msomi aliyevamiwa na majambazi sasa sijui na hao majambazi ni "wanyarwanda"?
Very beautiful lullaby...
Rwanda is not an Island it borders us, Some decisions made by Kagame regime can have an inpact on us on the future especially decisions that influence peace in your country. we had more than a million refugees from Rwanda, and therefore your peace is not exclusive to you.
Besides, Injustice anywhere is an injustice everywhere, however given the close proximity between Rwanda and Tanzania, we can not stay idle while the policies that precipitated the genocide of 1994 are re-adopted by the Regime.
We say, Separate the ones who had a hand in Genocide of 1994 and bring them to book, but let the rest freely go back home and be free in their Home Land. Creating a one ethnic group at helm oriented system, is not good for anyone in Rwanda. National reconciliation process has to go on. There is so much scars and bitterness yet to be addressed. but justice and equality can heal.