Mayele achaguliwa mchezaji Bora Africa mwezi April

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
[emoji599]...BREAKING NEWS

Mshambuliaji wa klab ya Yanga, Fiston Mayele ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa Africa mwezi April tuzo kutoka katika jarida maarufu la michezo Africa #foot_africa.

[emoji1078] Fiston Mayele 29%
[emoji1062] Iliman Ndiaye 28%
[emoji1062] Vicent Abubakar 18%
[emoji1026] Riyad Mahrez 12%

#teamofcitizens

Kwakweli Ligue ya bongo ni hatare Kwa kubrand wachezaji
 
Hatari sana
 
Mna uhakika hii siyo tuzo ya mshambuliaji anayekosa nafasi nyingi zaidi?
 
Safi sana.....Piga haooo wa SA 3_1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…