Alitolewa sub dakika ya 73 akibadilishana na jamaa mmoja anaitwa KakutaIla mleta mada kaja kuchangamsha genge tu. Hiyo mechi DRC kashinda 1-0 na siyo sare ya 1-1 kama alivyosema na Mayele kacheza gemu nzima. Hizo ndiyo data nilizonazo mimi.
Ooh ok. Kwenye site ya sofascore, sub walizoweka hawakuonyesha kama Mayele alitoka. Wanaonyesha hiyo dkk ya 73 alitoka Bongonda aliyefunga penati ndiyo akaingia huyo Kakuta.Alitolewa sub dakika ya 73 akibadilishana na jamaa mmoja anaitwa Kakuta
Sahihi kabisa, sofascore wameonesha sub 6 tuOoh ok. Kwenye site ya sofascore, sub walizoweka hawakuonyesha kama Mayele alitoka. Wanaonyesha hiyo dkk ya 73 alitoka Bongonda aliyefunga penati ndiyo akaingia huyo Kakuta.
Ball la TZ niujanja ujanja na uchawiLeo DR Congo walicheza na Uganda na matokeo ni 1 1, beki Inonga Baka na mshambuliaji Fiston Mayele walianza, hata hivyo Mayele ambaye ni mfungaji bora ligi kuu nchini alitolewa katika dakika ya 73 baada ya kushindwa kumudu mchezo.
Mm namshauri arudi Yanga kulinda heshima, timu hizi mchezaji anaonekana mzuri kutokana na mambo ya utamaduni, nje ya hapo hamna lolote.
Huko anakowindwa akifunga mabao 5 nipo humu.
Au ukimgusa Chama huko Bunju!!! Unatafuta vita na makoloUkigusa Mayele kwa mwana Yanga ni sawa na unataka kumuibia Mke/Mume. Akili huwatoka kabisa.
Kama kuna shabiki (mwanaume) amewahi kusema Mayele aje atampa hata 0713 ashughulike nayo unategemea nini?
mjinga mno weweLeo DR Congo walicheza na Uganda na matokeo ni 1 1, beki Inonga Baka na mshambuliaji Fiston Mayele walianza, hata hivyo Mayele ambaye ni mfungaji bora ligi kuu nchini alitolewa katika dakika ya 73 baada ya kushindwa kumudu mchezo.
Mm namshauri arudi Yanga kulinda heshima, timu hizi mchezaji anaonekana mzuri kutokana na mambo ya utamaduni, nje ya hapo hamna lolote.
Huko anakowindwa akifunga mabao 5 nipo humu.
Asilimia 90 ya mashabiki wa Simba na yanga ni vichaaLeo DR Congo walicheza na Uganda na matokeo ni 1 1, beki Inonga Baka na mshambuliaji Fiston Mayele walianza, hata hivyo Mayele ambaye ni mfungaji bora ligi kuu nchini alitolewa katika dakika ya 73 baada ya kushindwa kumudu mchezo.
Mm namshauri arudi Yanga kulinda heshima, timu hizi mchezaji anaonekana mzuri kutokana na mambo ya utamaduni, nje ya hapo hamna lolote.
Huko anakowindwa akifunga mabao 5 nipo humu.
Mbumbumbu ana aibu?Huoni hata aibu?
Mashabiki wa Simba wamevurugwaAliyesababisha Goli la penalti alikuwa Baba Yako au
Kwahiyo nyinyi mikia Sasa hivi kazi yenu ni kufuatilia wachezaji wa Yanga na kuwapa ushauriLeo DR Congo walicheza na Uganda na matokeo ni 1 1, beki Inonga Baka na mshambuliaji Fiston Mayele walianza, hata hivyo Mayele ambaye ni mfungaji bora ligi kuu nchini alitolewa katika dakika ya 73 baada ya kushindwa kumudu mchezo.
Mm namshauri arudi Yanga kulinda heshima, timu hizi mchezaji anaonekana mzuri kutokana na mambo ya utamaduni, nje ya hapo hamna lolote.
Huko anakowindwa akifunga mabao 5 nipo humu.
Wengine wanaamua tu kuandika mambo tucheke.Jamii forum ukitaka kujua uwezo wa kufikili wa watu hata hutumii nguvu
Ha ha ha ha umejua kunilipua kicheko.Huoni hata aibu?
Naamini saido pamoja na umri mkubwa ni mzuri kuliko utopolo's mayeleLeo DR Congo walicheza na Uganda na matokeo ni 1 1, beki Inonga Baka na mshambuliaji Fiston Mayele walianza, hata hivyo Mayele ambaye ni mfungaji bora ligi kuu nchini alitolewa katika dakika ya 73 baada ya kushindwa kumudu mchezo.
Mm namshauri arudi Yanga kulinda heshima, timu hizi mchezaji anaonekana mzuri kutokana na mambo ya utamaduni, nje ya hapo hamna lolote.
Huko anakowindwa akifunga mabao 5 nipo humu.
Ni mbumbumbu, mwenyekiti wao alishasemaEspecially mashabiki wa Simba
Jamaa sijui hua wanatumia Nini kufikiri