Mayele achemsha kwa Waganda, atolewa dakika ya 73, nilisema nje ya Utopolo anaenda kujimaliza

Mayele achemsha kwa Waganda, atolewa dakika ya 73, nilisema nje ya Utopolo anaenda kujimaliza

Ila mleta mada kaja kuchangamsha genge tu. Hiyo mechi DRC kashinda 1-0 na siyo sare ya 1-1 kama alivyosema na Mayele kacheza gemu nzima. Hizo ndiyo data nilizonazo mimi.
Alitolewa sub dakika ya 73 akibadilishana na jamaa mmoja anaitwa Kakuta
 
Alitolewa sub dakika ya 73 akibadilishana na jamaa mmoja anaitwa Kakuta
Ooh ok. Kwenye site ya sofascore, sub walizoweka hawakuonyesha kama Mayele alitoka. Wanaonyesha hiyo dkk ya 73 alitoka Bongonda aliyefunga penati ndiyo akaingia huyo Kakuta.
 
Ooh ok. Kwenye site ya sofascore, sub walizoweka hawakuonyesha kama Mayele alitoka. Wanaonyesha hiyo dkk ya 73 alitoka Bongonda aliyefunga penati ndiyo akaingia huyo Kakuta.
Sahihi kabisa, sofascore wameonesha sub 6 tu
Screenshot_20230614-234341.png

Ila Besoccer wameonesha sub 7 na katika hizo Mayele yupo
Screenshot_20230614-234436.png
 
Leo DR Congo walicheza na Uganda na matokeo ni 1 1, beki Inonga Baka na mshambuliaji Fiston Mayele walianza, hata hivyo Mayele ambaye ni mfungaji bora ligi kuu nchini alitolewa katika dakika ya 73 baada ya kushindwa kumudu mchezo.

Mm namshauri arudi Yanga kulinda heshima, timu hizi mchezaji anaonekana mzuri kutokana na mambo ya utamaduni, nje ya hapo hamna lolote.

Huko anakowindwa akifunga mabao 5 nipo humu.
Ball la TZ niujanja ujanja na uchawi
 
Leo DR Congo walicheza na Uganda na matokeo ni 1 1, beki Inonga Baka na mshambuliaji Fiston Mayele walianza, hata hivyo Mayele ambaye ni mfungaji bora ligi kuu nchini alitolewa katika dakika ya 73 baada ya kushindwa kumudu mchezo.

Mm namshauri arudi Yanga kulinda heshima, timu hizi mchezaji anaonekana mzuri kutokana na mambo ya utamaduni, nje ya hapo hamna lolote.

Huko anakowindwa akifunga mabao 5 nipo humu.
mjinga mno wewe
 
Mayele ni mfungaji bora wa CAFCC na overall wa mashindano yote ikiwemo CAFCL ni wa pili !
Hii rekodi haifutiki !
 
Leo DR Congo walicheza na Uganda na matokeo ni 1 1, beki Inonga Baka na mshambuliaji Fiston Mayele walianza, hata hivyo Mayele ambaye ni mfungaji bora ligi kuu nchini alitolewa katika dakika ya 73 baada ya kushindwa kumudu mchezo.

Mm namshauri arudi Yanga kulinda heshima, timu hizi mchezaji anaonekana mzuri kutokana na mambo ya utamaduni, nje ya hapo hamna lolote.

Huko anakowindwa akifunga mabao 5 nipo humu.
Asilimia 90 ya mashabiki wa Simba na yanga ni vichaa
 
Leo DR Congo walicheza na Uganda na matokeo ni 1 1, beki Inonga Baka na mshambuliaji Fiston Mayele walianza, hata hivyo Mayele ambaye ni mfungaji bora ligi kuu nchini alitolewa katika dakika ya 73 baada ya kushindwa kumudu mchezo.

Mm namshauri arudi Yanga kulinda heshima, timu hizi mchezaji anaonekana mzuri kutokana na mambo ya utamaduni, nje ya hapo hamna lolote.

Huko anakowindwa akifunga mabao 5 nipo humu.
Kwahiyo nyinyi mikia Sasa hivi kazi yenu ni kufuatilia wachezaji wa Yanga na kuwapa ushauri
 
Leo DR Congo walicheza na Uganda na matokeo ni 1 1, beki Inonga Baka na mshambuliaji Fiston Mayele walianza, hata hivyo Mayele ambaye ni mfungaji bora ligi kuu nchini alitolewa katika dakika ya 73 baada ya kushindwa kumudu mchezo.

Mm namshauri arudi Yanga kulinda heshima, timu hizi mchezaji anaonekana mzuri kutokana na mambo ya utamaduni, nje ya hapo hamna lolote.

Huko anakowindwa akifunga mabao 5 nipo humu.
Naamini saido pamoja na umri mkubwa ni mzuri kuliko utopolo's mayele
 
Back
Top Bottom