Mayele achemsha kwa Waganda, atolewa dakika ya 73, nilisema nje ya Utopolo anaenda kujimaliza


Mtu ambaye hujui hata unakula nini saa 9 mchana baadae unapambana na watu ambao wana kila kitu, plus firm, umaskini mzigo.
 
Mayele anawakuna vizuri hizo tako zenu maana hamuachi kumtaja mume wenu
 
Uzi huu ni wa mtu ambaye mfano wake ni kama lorry lililowekewa engine ya bajaji. Jitu kubwa akili kisoda
 
Huko kwenu wenye akili bado ni wale wale 2, na duru inavyosomeka wataendelea kuwa hao hao kwa miaka mingine mi ijayo
 
Umemuona leo??
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…