Mayele alikuwa anamroga Crispin Ngushi, bora ameondoka

Yaani uzi wa mwezi wa 7 una page 1. Sijasoma ulichoandika ila utakuwa ushirikina tu ambao wengi hawauamini
 
acha kuhara
 
Sawa Ngushi tumekuelewa, ila punguza papara unapokuwa na mpira utafika mbali.
 
Waliocheza jana na jamhuri wengi wataachwa dirisha dogo........muda utaongea
 
Alikosa nafasi kadhaa rahisi zaidi kuliko magoli aliyofunga.
Ila ana bidii na kujituma sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…