Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Nakulalamika kuwa wanalishwa sukariWazawa wakiambiwa heshima na
Nidham itakufikisha mbali hawaskii
Wanajazwa pumba na kusema wanaonewa
Yule dogo alitengenezewa mazingiraAliyepitwa na george mpole 2021/2022
ndio maana shule za sekondari hazitaki wanafunzi muende na smart 4g zenu shuleShirikisho la waliofeli
Hasa kale kajinga na kakilaza kalikotukuka ka Mchambawima.Wazawa wakiambiwa heshima na
Nidham itakufikisha mbali hawaskii
Wanajazwa pumba na kusema wanaonewa
kapumbavu kale. nako kanajiona eti bila kenyewe yanga haipo pumbavu kabisaHasa kale kajinga na kakilaza kalikotukuka ka Mchambawima.
Ndo mchezaji aliyekomaa na professional anasema hivyo.View attachment 2552772
Mshambuliaji wa @yangasc1935 Fiston Mayele ameushukuru uongozi wa timu hiyo pamoja na benchi la ufundi kwa kumuamini na kumpa nafasi ya kudhihirisha kipaji alichokuwa nacho.
Kinara huyo wa mabao wa Yanga, amesema mafanikio aliyokuwa nayo hivi sasa yanatokana na imani ya pande hizo mbili na siku zote ataendelea kuziheshimu.
“Juzi nimeitwa timu ya taifa ya DR Congo, ni kutokana na kiwango bora nikiwa na timu yangu, naushukuru uongozi, benchi la ufundi na wachezaji wenzangu kwa kunipa ushirikiano",
Mayele bonge moja la mchezaji, ni funzo kwa wengi sanaView attachment 2552772
Mshambuliaji wa @yangasc1935 Fiston Mayele ameushukuru uongozi wa timu hiyo pamoja na benchi la ufundi kwa kumuamini na kumpa nafasi ya kudhihirisha kipaji alichokuwa nacho.
Kinara huyo wa mabao wa Yanga, amesema mafanikio aliyokuwa nayo hivi sasa yanatokana na imani ya pande hizo mbili na siku zote ataendelea kuziheshimu.
“Juzi nimeitwa timu ya taifa ya DR Congo, ni kutokana na kiwango bora nikiwa na timu yangu, naushukuru uongozi, benchi la ufundi na wachezaji wenzangu kwa kunipa ushirikiano",
Huyo George Mpore mwenyewe yuko wapi sasa msimu huu?Aliyepitwa na george mpole 2021/2022